JESHI la Magereza nchini Tanzania limesema taarifa zinazotolewa kupitia ujumbe mfupi wa simu na baadhi ya watu kuwa Nguza Vicking au maarufu kama Babu Seya…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Mfumuko wa Bei Wapanda Tanzania
Na Aron Msigwa – Maelezo, Dar es Salaam MFUMUKO wa Bei wa Taifa kwa mwezi Agosti, 2014 umeongezeka hadi kufikia asilimia 6.7 kutoka asilimia 6.5…
Continue Reading....Serikali Yasajili Makampuni 51 Wakala wa Ajira
Frank Mvungi, Maelezo SERIKALI imetoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini kati ya 87 yaliyowasilisha maombi yake kwa…
Continue Reading....Vijana Mwanza Wapewa Semina Juu ya Unyanyasaji wa Kijinsia
Mwandishi Wetu, Mwanza MWANAHARAKATI wa Shirika la Kutetea Haki za Wanawake la KIVULINI jijini Mwanza, Bi. Khadija Liganga ametoa mafunzo kuhusu Unyanyasaji wa kijinsia na…
Continue Reading....Takwimu Zabaini Asilimia 27 ya Watoto Tanzamia Wanatumikishwa
Na Anna Nkinda – Maelezo TAKWIMU zinaonesha kuwa idadi ya watoto wanaotumikishwa Duniani inafikia milioni 169 kati ya hao wapo wenye umri wa miaka mitano,…
Continue Reading....Uchakavu wa Shilingi 500, Wailazimu BOT Kutoa Sarafu
Na Frank Mvungi, MAELEZO BENKI Kuu ya Tanzania imetoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500 itakayoanza kutumika Oktoba 2014 itakayokuwa mbadala wa Noti ya…
Continue Reading....