Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 415

Category: Habari za Nyumbani

Rais Atoa Pole Vifo vya Watu 36 Ajalini Mara, 16 Wahamishiwa Bugando

Posted on: September 7, 2014 - jomushi
Post Tags: Ajali Yaua 37, Bugando, Mara
Rais Atoa Pole Vifo vya Watu 36 Ajalini Mara, 16 Wahamishiwa Bugando

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameelezea huzuni na masikitiko yake makubwa kufuatia vifo vya watu 36 vilivyotokea katika ajali ya…

Continue Reading....

Serikali Yatumia Bil 16 Kujenga ‘Law School of Tanzania’

Posted on: September 7, 2014 - jomushi
Post Tags: Law School of Tanzania, Serikali Tanzania
Serikali Yatumia Bil 16 Kujenga ‘Law School of Tanzania’

Frank Mvungi – Maelezo SERIKALI yatumia zaidi ya bilioni 16 kujenga Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (the Law School of Tanzania). Kauli hiyo…

Continue Reading....

JWTZ Imechangia Kwa Kiasi Kikubwa Amani ya Tanzania-JK

Posted on: September 7, 2014 - jomushi
Post Tags: Amani, JK, JWTZ, tanzania
JWTZ Imechangia Kwa Kiasi Kikubwa Amani ya Tanzania-JK

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Jakaya Mrisho Kikwete, amelisifia Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa kutaja mafanikio yake…

Continue Reading....

DC Mjema Akabidhi Mashine za Matofali kwa Chapakazi Youth

Posted on: September 6, 2014 - jomushi
Post Tags: Chapakazi Youth, DC, Mashine za Matofali
DC Mjema Akabidhi Mashine za Matofali kwa Chapakazi Youth

Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akikabidhi mashine ya kufyatulia matofali mwenyekiti wa kikundi cha Mbagala  Youth Group Said Mponda  baada ya kuzipokea…

Continue Reading....

Pinda Aitaka Wizara ya Mifugo ‘Kuwaesabu’ Ng’ombe Upya

Posted on: September 6, 2014 - jomushi
Post Tags: Ng'ombe, Uvuvi, Wizara ya Mifugo
Pinda Aitaka Wizara ya Mifugo ‘Kuwaesabu’ Ng’ombe Upya

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda ameitaka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kufanya upya sensa ya mifugo kwani ya mwisho ilifanyika miaka 30…

Continue Reading....

Rais Kikwete Asema Tanzania Imeidhibiti Vema Ebola

Posted on: September 5, 2014 - jomushi
Post Tags: Ebola, Rais Kikwete, tanzania
Rais Kikwete Asema Tanzania Imeidhibiti Vema Ebola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema Serikali yake imejipanga kukabiliana na Ugonjwa wa Ebola na hivyo kuwataka Watanzania wasiwe ma hofu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari