Na Frank Mvungi – Maelezo MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wakati wa mkutano Mkuu wa Taasisi za Kodi Afrika…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Rais Kikwete Akagua Utayari wa Tanzania Kukabiliana na Ebola
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Septemba 9, 2014, alikagua huduma na vifaa, pamoja na maandalizi ya kukabiliana na ugonjwa hatari wa…
Continue Reading....JK, Museveni Wakutana Faragha Dar
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Septemba 10, 2014, alifanya mazungumzo ya faragha na mgeni wake, Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda,…
Continue Reading....Samuel Sitta Akomaa na Bunge la Katiba
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ‘amekomaa’ kuhakikisha Bunge Maalumu la Katiba linafanya kazi kwa kasi na kukamilisha kila kitu ifikapo tarehe yake…
Continue Reading....Wajawazito Wajifungue Katika Mazingira Salama…!
Na Anna Nkinda – Maelezo ILI kuhakikisha vifo vya wajawazito vinapungua ni lazima wajifungue katika mazingira salama huku kukiwa na upatikanaji wa kutosha wa vifaa…
Continue Reading....Waziri Mkuu Pinda Awaasa Wanasheria Tanzania
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka wanasheria kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki waweke mbele maslahi ya wananchi wa kawaida wakati wanapoingia mikataba na…
Continue Reading....