Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 410

Category: Habari za Nyumbani

Maendeleo ya Jamii Waelezea Mikakati…!

Posted on: September 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Jinsia na Watoto, Wizara ya Maendeleo ya Jamii
Maendeleo ya Jamii Waelezea Mikakati…!

                                   Na Jovina Bujulu – MAELEZO SERIKALI kupitia uratibu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto imeendelea kujenga mazingira wezeshi kwa ajili ya…

Continue Reading....

Mahakama Kuu Yatupa Ombi la Zuio Bunge la Katiba

Posted on: September 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Mahakama Kuu, Zuio Bunge la Katiba
Mahakama Kuu Yatupa Ombi la Zuio Bunge la Katiba

HATIMAYE Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imelifukuza mahakamani ombi dogo la Mwandishi wa Habari, Saed Kubenea lilokuwa likiiomba Mahakama hiyo itoe amri ya…

Continue Reading....

Prof Mwandosya, Nagu Wataka Katiba Inayotatua Kero za Watanzania

Posted on: September 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Nagu, Prof Mwandosya, Watanzania
Prof Mwandosya, Nagu Wataka Katiba Inayotatua Kero za Watanzania

  Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma   MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Prof. Mark Mwandosya ameeleza kuwa mpaka ifikapo mwaka 2055 Tanzania itakuwa imeachana na…

Continue Reading....

Simba Chawene Asikitika Bungeni Dodoma

Posted on: September 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Asikitika, Bungeni Dodoma, Simba Chawene
Simba Chawene Asikitika Bungeni Dodoma

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, George Simba Chawene amesikitishwa na kauli zilizotolewa na baadhi ya Wajumbe walioko nje ya bunge hilo kuhusiana na uhalali…

Continue Reading....

Waziri Pinda Asuluhisha Mgogoro Kiwanda cha Chai Mponde

Posted on: September 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Mgogoro Kiwanda cha Chai Mponde, Waziri Pinda
Waziri Pinda Asuluhisha Mgogoro Kiwanda cha Chai Mponde

*Ataka iundwe timu ya watu wachache kusimamia kiwanda   WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amewataka Wakala wa Wakulima Wadogo wa Chai pamoja na Bodi…

Continue Reading....

Wanachama wa LAPF Kunufaika na Fao la Elimu, Bilioni 3 Kutumika Mwaka wa Masomo 2014/15

Posted on: September 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Fao la Elimu, LAPF, Mwaka 2014/2015
Wanachama wa LAPF Kunufaika na Fao la Elimu, Bilioni 3 Kutumika Mwaka wa Masomo 2014/15

WANACHAMA wa Mfuko wa Penseni wa LAPF kunufaika na fao jipya lilozinduliwa hivi karibuni nchini kwa Baraka zake Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari