Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 408

Category: Habari za Nyumbani

Watafiti Umasikini Katika Kaya Watakiwa Kupewa Ushirikiano

Posted on: September 19, 2014 - jomushi
Post Tags: umasikini, Ushirikiano, Watafiti
Watafiti Umasikini Katika Kaya Watakiwa Kupewa Ushirikiano

Na Mwandishi Wetu – Morogoro SERIKALI imewataka wananchi na viongozi wa maeneo mbalimbali nchini kuhakikisha kuwa wanatoa ushirikiano kwa wadadisi kutoka Ofisi ya Taifa ya…

Continue Reading....

Samsung Wazinduwa Duka na Kituo cha Huduma Arusha

Posted on: September 19, 2014 - jomushi
Post Tags: Huduma Arusha, Kituo, Samsung Duka
Samsung Wazinduwa Duka na Kituo cha Huduma Arusha

KAMPUNI ya Samsung imezinduwa rasmi duka kubwa na kituo chake cha huduma kwa wateja lililopo barabara ya Sokoine Mjini Arusha. Uzinduzi huo utawawezesha wateja wake…

Continue Reading....

Mbowe Ajisalimisha Polisi, Shughuli Zasimama

Posted on: September 19, 2014September 19, 2014 - jomushi
Post Tags: Kuhojiwa Polisi, Mbowe
Mbowe Ajisalimisha Polisi, Shughuli Zasimama

SHUGHULI za kiserikali katika Wizara ya Mambo ya Ndani na ofisi jirani, jana zilisimama kwa siku nzima kutokana na hekaheka zilizoibuka baina ya polisi na…

Continue Reading....

Serikali, Mishahara ya Watumishi wa Umma kulipwa kupitia benki

Posted on: September 19, 2014 - jomushi
Post Tags: mishahara
Serikali,  Mishahara ya Watumishi wa Umma kulipwa kupitia benki

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ofisi za Hazina jijini Dar es salaam Na Eleuteri…

Continue Reading....

Tanzania Ina Vikwazo vya Kibiashara – Dk Nagu

Posted on: September 17, 2014 - jomushi
Post Tags: Dk Nagu, Kibiashara, Vikwazo
Tanzania Ina Vikwazo vya Kibiashara – Dk Nagu

Na Gervas Yohane, Rombo WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mery Nagu, amesema Tanzania ni moja kati ya nchi ambayo…

Continue Reading....

Kongamano la Nyuki Barani Afrika Kufanyika Tanzania

Posted on: September 17, 2014 - jomushi
Post Tags: Barani Afrika, Kongamano la Ufugaji Nyuki
Kongamano la Nyuki Barani Afrika Kufanyika Tanzania

Na Ismail Ngayonga, MAELEZO TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa Kongamano la Watafiti na Wanasayansi wa Sekta ya Ufugaji Nyuki Barani Afrika linalotarajiwa kufanyika Jijini Arusha…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari