Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 404

Category: Habari za Nyumbani

Wanaharakati TGNP Wataja Dosari za Katiba Inayopendekezwa

Posted on: September 27, 2014 - jomushi
Post Tags: Katiba Inayopendekezwa, Wanaharakati TGNP
Wanaharakati TGNP Wataja Dosari za Katiba Inayopendekezwa

WANAHARAKATI wa ngazi ya jamii na washiriki wa Jukwaa la wazi la Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) linaloratibiwa na TGNP Mtandao wametoa tamko huku…

Continue Reading....

Wake wa Marais Watakiwa Kutumia Nafasi Kuwatetea Wanawake na Watoto

Posted on: September 27, 2014 - jomushi
Post Tags: Wake za Marais, wanawake, Watoto
Wake wa Marais Watakiwa Kutumia Nafasi Kuwatetea Wanawake na Watoto

Na Anna Nkinda – Maelezo, New York WAKE wa Marais pamoja na viongozi wametakiwa kuchukua hatua, kutumia sauti zao na nafasi yao ili kuhakikisha watoto, wasichana na…

Continue Reading....

Albino Aliyekatwa Mikono Awaliza Viongozi Mkutanoni

Posted on: September 27, 2014 - jomushi
Post Tags: Mauaji ya Albino, Viongozi walia
Albino Aliyekatwa Mikono Awaliza Viongozi Mkutanoni

Na Mwandishi Wetu MWANAMKE albino Mariam Stanford aliyepoteza mikono yake yote miwili wakati iliponyofolewa na majahili asiowajua Oktona7, 2008 ameitaka serikali kuwanyonga wote wanaopatikana na hatia…

Continue Reading....

Mbunge wa Kalenga Apinga Uyaya Jimboni Kwake

Posted on: September 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Mbunge wa Kalenga, Uyaya Jimboni
Mbunge wa Kalenga Apinga Uyaya Jimboni Kwake

MBUNGE wa Jimbo la Kalenga, CCM mkoani Iringa, Godfrey Mgimwa amepiga marufuku wanafunzi waliofanya mtihani wa taifa wa darasa la saba 2014 kwenda mijini kufanya…

Continue Reading....

Mtandao wa Wanawake na Katiba Wawapongeza Wajumbe wa Bunge la Katiba…!

Posted on: September 25, 2014September 25, 2014 - jomushi
Post Tags: Mtandao wa Wanawake na Katiba
Mtandao wa Wanawake na Katiba Wawapongeza Wajumbe wa Bunge la Katiba…!

n] MTANDAO wa Wanawake na Katiba Tanzania umewapongeza wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na hasa wajumbe waliokuwa mstari wa mbele kupigania masuala mbalimbali yaliyokuwa…

Continue Reading....

NSSF Yatoa Semina Kwa Maofisa Ajira na Fedha Dar

Posted on: September 25, 2014September 25, 2014 - jomushi
Post Tags: Maofisa Ajira, NSSF Yatoa, Semina
NSSF Yatoa Semina Kwa Maofisa Ajira na Fedha Dar

Na Joachim Mushi SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa Temeke limefanya semina kwa maofisa ajira na Fedha zaidi ya 150 kutoka…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari