Category: Habari za Nyumbani
Kliniki za Kisukari Kutoa Huduma Jumuishi kwa Wanaougua Kisukari
HOSPITALI maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika…
Continue Reading....Jaji Mutungi Ataka Redio za Jamii Zisigeuzwe Vibaraka
Na Mwandishi Wetu, Dodoma MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi amezitaka Redio za Jamii kutokubali kutumiwa na vyama vya siasa vinavyotumia unyonge…
Continue Reading....Beki ya Posta Yasaidia Vifaa vya Usafi Soko la Samaki Feri
BENKI ya Posta imekabidhi msaada wa vifaa vya usafi vyenye thamani ya shilingi milioni 4 kwa uongozi wa soko Kuu la Samaki la Feri. Msaada…
Continue Reading....Chanjo ya Matende, Mabusha, Surua Kutolewa Dar
Na Beatrice Lyimo, MAELEZO WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo inatarajia kufanya kampeni shirikishi ya ugonjwa wa Surua…
Continue Reading....Tanzania Yapewa Majukumu Mgogoro wa Sudan Kusini
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ametangaza kuwa Tanzania imekubali kuwa msuluhishi wa mgogoro wa kisiasa ndani ya chama tawala cha…
Continue Reading....