Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 390

Category: Habari za Nyumbani

Wananchi Watahadharishwa na Tiba Feki

Posted on: October 25, 2014October 25, 2014 - jomushi
Post Tags: Tiba feki, Tiba za asili
Wananchi Watahadharishwa na Tiba Feki

Na Beatrice Lyimo – Maelezo. BARAZA la Tiba Asili na Tiba Mbadala latoa tamko kuhusu vipindi na matangazo yote ya tiba asilia na tiba mbadala…

Continue Reading....

Tangazo la Mkutano!

Posted on: October 25, 2014October 25, 2014 - admin
Tangazo la Mkutano!

Continue Reading....

China Yatoa Mabilioni ya Fedha Kuwekeza Miradi Anuai Tanzania

Posted on: October 24, 2014October 24, 2014 - jomushi
Post Tags: China, Miradi Tanzania, Uwekezaji
China Yatoa Mabilioni ya Fedha Kuwekeza Miradi Anuai Tanzania

*Maendeleo ya China ni Cachu….! TANZANIA na Jamhuri ya Watu wa China Oktoba 23, 2014, zimetiliana saini Hati za Makubaliano (Memorandum of Undestanding) ambako taasisi…

Continue Reading....

Mjomba Aliyejichimbia Ughaibuni, Apatikana Baada ya Miaka 40!

Posted on: October 24, 2014October 24, 2014 - Rungwe Jr.
Mjomba Aliyejichimbia Ughaibuni, Apatikana Baada ya Miaka 40!

  Mhindi (pichani)  aliyefahamika kwa jina la Abdulla Punathil Usman amepatikana akiwa mgonjwa hospitalini, nchini Dubai. Usman hakuwa na mawasiliano na familia yake na wala hawakuwa…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Pinda ‘Alilia’ Wawekezaji Poland

Posted on: October 24, 2014 - jomushi
Waziri Mkuu Pinda ‘Alilia’ Wawekezaji Poland

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewasili nchini Poland kwa ziara ya siku mbili ya Kiserikali ambayo inalenga kuwavutia wafanyabiashara wa nchi hii waje kuwekeza Tanzania. Mara…

Continue Reading....

Ummy Mwalimu Asimamia Sheria Mazingira Kinondoni

Posted on: October 24, 2014 - jomushi
Post Tags: kinondoni, Sheria za Mazingira, Ummy Mwalimu
Ummy Mwalimu Asimamia Sheria Mazingira Kinondoni

Hussein Makame – MAELEZO NAIBU Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Ummy Mwalimu amewataka watendaji wa Kata za halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kusimamia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari