Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 391

Category: Habari za Nyumbani

Pinda Azinduwa Toleo la Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania

Posted on: October 24, 2014 - jomushi
Post Tags: Jarida, Pinda, Uhuru wa Tanzania
Pinda Azinduwa Toleo la Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania

*Linatumika kuitangaza Tanzania nje   WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amezindua jarida la kimataifa la FIRST ambalo limesheheni taarifa za kuitangaza Tanzania kwa wadau wa nchi…

Continue Reading....

Watanzania Kupiga Kura ya Maoni Katiba Mpya Aprili 2015

Posted on: October 22, 2014 - jomushi
Post Tags: Aprili 2015, Katiba Mpya, Kupiga Kura
Watanzania Kupiga Kura ya Maoni Katiba Mpya Aprili 2015

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema kuwa endapo mipango yote itakwenda kama inavyoandaliwa, Watanzania watapata nafasi ya kuipigia kura ya maoni…

Continue Reading....

Afrika ni Salama Licha ya Kuwepo Ugonjwa wa Ebola – Rais Kikwete

Posted on: October 22, 2014 - jomushi
Post Tags: Afrika, Rais Kikwete, Ugonjwa wa Ebola
Afrika ni Salama Licha ya Kuwepo Ugonjwa wa Ebola – Rais Kikwete

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ametoa changamoto kwa mabalozi wanaoziwakilisha nchi za Afrika katika Jamhuri ya Watu wa China kuendelea…

Continue Reading....

Mahakama Kupunguza Muda wa Mashauri Kukaa Mahakamani

Posted on: October 22, 2014 - jomushi
Post Tags: Kesi, Mahakama, Mashauri
Mahakama Kupunguza Muda wa Mashauri Kukaa Mahakamani

Na Georgina Misama – MAELEZO MAHAKAMA ya Tanzania imedhamiria kutekeleza dira yake ya haki sawa kwa wote ili kuhakikisha inapunguza muda wa mashauri na rufaa…

Continue Reading....

Bodi ya Huduma za Maktaba Yaanzisha Diploma ya Ukutubi

Posted on: October 22, 2014 - jomushi
Post Tags: Diploma ya Ukutubi, Huduma za Maktaba
Bodi ya Huduma za Maktaba Yaanzisha Diploma ya Ukutubi

Na Hassan Silayo-MAELEZO BODI ya Huduma za Maktaba Tanzania imeanzisha masomo ya jioni ya Diploma ya Ukutubi katika Kampasi ya Dar es Salaam kwa mwaka…

Continue Reading....

Utoaji Chanjo ya Surua na Rubella Ilala Wavuka Lengo

Posted on: October 22, 2014 - jomushi
Post Tags: Chanjo, Surua na Rubella, Ugonjwa
Utoaji Chanjo ya Surua na Rubella Ilala Wavuka Lengo

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO MANISPAA ya Ilala imevuka lengo la kutoa chanjo ya ugonjwa wa Surua na Rubella kwa watu 468,297 ambapo awali lengo lao lilikuwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari