KAMPUNI ya Azam Media Limited, leo imetangaza kuwa Tido Mhando ameteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Uhai Production Ltd.(UPL). Tido, anaungana na Rhys Torrington ambaye ni…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
TGNP Kufanya Mjadala wa Wazi Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili
TGNP Mtandao ni asasi ya kiraia isiyokuwa na mrengo wa kidini iliyoanzishwa na kusajiliwa zaidi ya miaka 20 iliyopita ikijihusisha na mapambano ya kuleta usawa…
Continue Reading....Rais Kikwete Amteuwa CAG Mpya Kumrithi Utouh…!
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kushika…
Continue Reading....Shule za Montesory Ilala Zasaidiwa
Na Mwandishi Wetu SHULE za Montesory na Ulongoni B zilizopo wilaya ya Ilala zimepewa kwa nyakati tofauti misaada ya tani moja ya Saruji sambamba na…
Continue Reading....Dk Bilal Aiwakilisha Tanzania Mkutano wa Wakuu EAC
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal jana Novemba 29, 2014 aliiwakilisha Tanzania katika mkutano wa siku moja wa…
Continue Reading....Mapokezi ya Rais Kikwete Alipowasili Kutoka Marekani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mmoja wa abiria wakati ndege aliyopanda ilipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani…
Continue Reading....