Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 373

Category: Habari za Nyumbani

Mama Salma Kikwete Ashauri Wananchi Kuchangua Viongozi Waadilifu

Posted on: December 5, 2014 - jomushi
Post Tags: Salma Kikwete, Viongozi Waadilifu
Mama Salma Kikwete Ashauri Wananchi Kuchangua Viongozi Waadilifu

Na Anna Nkinda – Lindi MKE wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa Kata ya Ng’apa Wilaya ya Lindi mjini kuchagua viongozi waadilifu na…

Continue Reading....

Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Chawataka Viongozi Kupitia Kozi ya Maadili

Posted on: December 4, 2014 - jomushi
Post Tags: Kozi ya Maadili, Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Viongozi
Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Chawataka Viongozi Kupitia Kozi ya Maadili

 Mkuuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere,  Profesa, Shadrack Mwakalila.  Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo. Mkutano ukiendelea.   CHUO cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere…

Continue Reading....

Mapambano ya Ukatili Yanaitaji Nguvu za Pamoja – Tume ya Haki za Binadamu

Posted on: December 4, 2014 - jomushi
Post Tags: TGNP, Tume ya Haki za Binadamu, Vitendo vya Ukatili
Mapambano ya Ukatili Yanaitaji Nguvu za Pamoja – Tume ya Haki za Binadamu

VITA dhidi ya mapambano ya vitendo vya ukatili wa kijinsia nchini Tanzania havina budi kuungwa mkono na makundi yote kutokana na umuhimu wake. Hali hii…

Continue Reading....

Mfungwa Tanzania Afungua Kesi Mahakama ya Afrika

Posted on: December 3, 2014December 3, 2014 - jomushi
Post Tags: Afungua Kesi, Mahakama ya Afrika, Mfungwa
Mfungwa Tanzania Afungua Kesi Mahakama ya Afrika

Na Mtua Salira, EANA MTANZANIA anayetumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha, Alex Thomas amepeleka…

Continue Reading....

Wanachuo St. Joseph Waenda kwa Pinda Kudai Mgao wa Escrow

Posted on: December 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Escrow, St. Joseph, Wamfuata Pinda
Wanachuo St. Joseph Waenda kwa Pinda Kudai Mgao wa Escrow

BAADHI ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Yosef (St. Joseph University In Tanzania-SJUIT, Dar) wameibuka katika maandamano ya kushtukiza na kwenda hadi Ofisi ya…

Continue Reading....

Filamu Zenye Tafsiri ya Kiingereza Kibovu Zinatudhalilisha

Posted on: December 1, 2014 - kizungumkuti
Filamu Zenye Tafsiri ya Kiingereza Kibovu Zinatudhalilisha

    Mimi napenda uigizaji; uwe katika filamu, vichekesho, maigizo n.k. kama vimetengenezwa katika kiwango kinachoridhisha huwa napenda kuangalia bila kujali igizo hilo limetengenezwa na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari