Mh Iddi Azan akihutubia umti ulifurika katika viwanja vya CCM Mwinjuma, Mwananyamala jijini Dar leo jioni. Mh Iddi Azan alizindua kampeni ya ubunge wa jimbo…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Msama Promotion na Tamasha la Kuombea Amani Uchaguzi Mkuu
Hapa mkutano na wanahabari ukiendelea. Wanahabari wakisubiri kuchukua taarifa hiyo. MWIMBAJI wa kimataifa wa nyimbo za injili kutoka nchini Afrika Kusini, Solly Mahlangu, amethibitisha kutumbuiza katika tamasha…
Continue Reading....Mafuriko ya Mgombea Urais wa CCM Dk Magufuli Mjini Simiyu
Mgombea Urais wa CCM Dk. Magufuli aliyenyanyua kofia (katikati) akiwasili katika uwanja wa CCM mjini Bariadi kwa ajili ya kuwahutubia kwenye mkutano wa kampeni mkoani…
Continue Reading....Dk. Magufuli Ainadi Ilani ya CCM Mjini Musoma…!
Baadhi ya Wakazi wa mji wa Musoma waliojitokeza kwa wingi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya kwenye mkutano…
Continue Reading....Wanachana Zaidi ya 460 Pwani Wahamia CCM, Yumo Kigogo
Mgombea mwenza wa urais CCM, Bi. Samia Sukuhu (wa kwanza kulia) akipokea na kuonesha kadi anazokabidhiwa na wanachama wa upinzani na kujiunga na Chama Cha…
Continue Reading....Watendaji wa Sekta ya Afya Watakiwa Kukabiliana na Kipindupindu
Na Magreth Kinabo –Maelezo Serikali imewataka watendaji wote afya wa halmashauri ,mikoa wilaya kusimamia suala la usafi wa mazingira ilikuizesha jamii kuepukana na matatizo ya…
Continue Reading....