Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 219

Category: Habari za Nyumbani

Wanafunzi IST Watengeneza Mifuko ya Kutunza Mazingira

Posted on: December 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Mazingira
Wanafunzi IST Watengeneza Mifuko ya Kutunza Mazingira

  Mkurugenzi wa Masoko Limited, Bwana Constantine Majavika (kushoto) akifafanua kuhusu ubunifu uliofanywa na vijana wa Shule ya International School of Tanganyika (IST) mbele ya Waandishi…

Continue Reading....

TTCL Yazinduwa Teknolojia ya 4G LTE, Ina Kasi ya Ajabu…!

Posted on: December 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Kampuni TTCL
TTCL Yazinduwa Teknolojia ya 4G LTE, Ina Kasi ya Ajabu…!

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (kushoto) na Ofisa Ufundi (IT) wa kampuni hiyo, Rehema Maswanya (kulia) kwa…

Continue Reading....

Jibu Lingine Latumbuliwa RAHCO, Mkurugenzi Asimamishwa

Posted on: December 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Ujenzi wa reli
Jibu Lingine Latumbuliwa RAHCO, Mkurugenzi Asimamishwa

RAIS wa Jamhuri ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Kukamilisha Darala la Mto Mbwemkuru

Posted on: December 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Waziri Mkuu Majaliwa
Waziri Mkuu Kukamilisha Darala la Mto Mbwemkuru

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema darala la Mto Mbwemkuru lililoko katika barabara ya kutoka Chikwale hadi Liwale litakamilika kwa sababu ni kiungo muhimu kwa wakazi…

Continue Reading....

Serikali Yaendelea Kuibana Tanesco…!

Posted on: December 23, 2015 - jomushi
Post Tags: TANESCO
Serikali Yaendelea Kuibana Tanesco…!

Na Ally Daud, Maelezo SERIKALI imeliagiza Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kukamilisha mradi wa kukuza miundo mbinu ya kusafirisha umeme unaosimamiwa na Kampuni ya kutengeneza…

Continue Reading....

TTCL Kzinduwa Huduma ya 4G LTE…!

Posted on: December 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Kampuni TTCL
TTCL Kzinduwa Huduma ya 4G LTE…!

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) inazindua rasmi teknolojia ya Long Term Evolution (LTE) inayojulikana kwa jina la mtandao wa 4G. Awamu ya kwanza inayoanza leo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari