Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,072

Category: Habari za Nyumbani

Uwazi katika familia utapunguza maambukizi ya Ukimwi – AMREF

Posted on: January 15, 2012 - jomushi
Uwazi katika familia utapunguza maambukizi ya Ukimwi – AMREF

Na Sixmund Begashe SHIRIKA la Utafiti wa Dawa Barani Afrika (AMREF), limesema vita dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi nchini Tanzania itafanikiwa endapo wazazi…

Continue Reading....

Marehemu Rejia Mtema kuagwa Januari 17

Posted on: January 15, 2012January 15, 2012 - jomushi
Marehemu Rejia Mtema kuagwa Januari 17

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Rejia Mtema aliyefariki jana kwa ajali ya gari anatarajiwa…

Continue Reading....

TAMWA waishauri Serikali kuhusu mtihani kidato cha pili

Posted on: January 15, 2012 - jomushi
TAMWA waishauri Serikali kuhusu mtihani kidato cha pili

Na Mwandishi Wetu AZMA ya Serikali kurejesha mtihani wa Kidato cha Pili itawezesha wasichana na wavulana wengi kupata elimu ya sekondari iwapo tu serikali, walimu,…

Continue Reading....

Dk Shein ateuwa Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar

Posted on: January 14, 2012January 14, 2012 - jomushi
Dk Shein ateuwa Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi…

Continue Reading....

Bunge latangaza msiba wa Rejia Mtema wa CHADEMA

Posted on: January 14, 2012January 14, 2012 - jomushi
Bunge latangaza msiba wa Rejia Mtema wa CHADEMA

*CHADEMA watoa pole kwa familia, wasema ni msiba mkubwa Na Mwandishi Wetu BUNGE la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania limetangaza rasmi kifo cha Mbunge wa…

Continue Reading....

Rais Kikwete awaaga Kanali Kamugisha na Kamishna Nkuku

Posted on: January 14, 2012 - jomushi
Rais Kikwete awaaga Kanali Kamugisha na Kamishna Nkuku

Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameungana na mamia kwa mamia ya waombolezaji katika kuaga mwili wa Kamishna wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari