Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,071

Category: Habari za Nyumbani

Mbunge CCM aitaka halmashauri kusambaza Katiba kwa Wananchi

Posted on: January 16, 2012 - jomushi
Mbunge CCM aitaka halmashauri kusambaza Katiba kwa Wananchi

Na Janeth Mushi, Arusha HALMASHAURI ya Wilaya ya Arusha imeagizwa kuhakikisha inachapisha nakala za kutosha za Katiba ya nchi ya sasa na kuzitawanya kwa wananchi…

Continue Reading....

Dk. Bilal apokea mchango wa Wachina kwa waathirika wa mafuriko

Posted on: January 16, 2012 - jomushi
Dk. Bilal apokea mchango wa Wachina kwa waathirika wa mafuriko

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal jana alipokea mchango wa sh. milioni 10 ukiwa ni…

Continue Reading....

Kesi ya Mbunge Lema kuanza Februari 7

Posted on: January 16, 2012 - jomushi
Kesi ya Mbunge Lema kuanza Februari 7

Na Janeth Mushi, Arusha KESI inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema (CHADEMA) na wanachama 18 wa chama hicho inatarajiwa kuanza kusikilizwa Februari 7 mwaka…

Continue Reading....

Waliokufa ajali ya meli Italia wafikia watano, 17 hawaonekani

Posted on: January 16, 2012 - jomushi
Waliokufa ajali ya meli Italia wafikia watano, 17 hawaonekani

MAITI mbili zimeopolewa tena katika meli kubwa ya kifahari ya abiria ya Costa Concordia iliyozama juzi nchini Italia eneo la Kisiwa cha Giglio. Kupatikana kwa…

Continue Reading....

Mtandao Vodacom M-Mpesa waboreshwa

Posted on: January 15, 2012January 15, 2012 - jomushi
Mtandao Vodacom M-Mpesa waboreshwa

*Kasi yaongezeka, wateja wazidi kufurahia huduma KAMPUNI ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imefanya maboresho makubwa katika mfumo unaondesha huduma ya Vodacom M-Pesa kwa lengo la…

Continue Reading....

Rais Kikwete ashiriki msiba wa Rejia Mtema

Posted on: January 15, 2012January 15, 2012 - jomushi
Rais Kikwete ashiriki msiba wa Rejia Mtema

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari