Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,073

Category: Habari za Nyumbani

Home Shopping Centre yasaidia Magwepande

Posted on: January 14, 2012 - jomushi
Home Shopping Centre yasaidia Magwepande

Na Mwandishi Maalumu KAMPUNI ya Home Shopping Centre (HSC) imeahidi kujenga kituo cha polisi, vyomba 14 vya madarasa ofisi za walimu na chumba cha kulia…

Continue Reading....

CHADEMA wapoteza mbunge ajalini leo

Posted on: January 14, 2012 - jomushi
CHADEMA wapoteza mbunge ajalini leo

MBUNGE wa Viti Maalumu kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Rejea Mtema amefariki dunia leo asubuhi kwa ajali mkoani Pwani. Taarifa ambazo mtandao…

Continue Reading....

Rais Kikwete atembelea Magwepande, Nyika aja juu

Posted on: January 14, 2012 - jomushi
Rais Kikwete atembelea Magwepande, Nyika aja juu

Na Joachim Mushi RAIS Jakaya Kiwete jana ametembelea ziara katika eneo la Magwepande nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam na kukagua miundombinu katika…

Continue Reading....

Polisi wamuua jambazi aliyeua askari Arusha

Posted on: January 13, 2012January 14, 2012 - jomushi
Polisi wamuua jambazi aliyeua askari Arusha

*Wengine wanne washikiliwa na Polisi Janeth Mushi, Arusha JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limemuua mtuhumiwa anayesadikiwa ni jambazi, Pokea Samson Kaaya maarufu kama ‘Kaunda’…

Continue Reading....

Mohamed Raza ateuliwa kugombea Uwakilishi Jimbo la Uzini

Posted on: January 13, 2012 - jomushi
Mohamed Raza ateuliwa kugombea Uwakilishi Jimbo la Uzini

Na Sufianimafoto.blogspot.com, Zanzibar KAMATI Kuu ya CCM imemteua mwanachama wake, Mohammed Raza kuwa mgombea wa Uwakilishi jimbo la Uzini. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa…

Continue Reading....

Marekani yakerwa maiti ‘kukojolewa’ na askari

Posted on: January 12, 2012 - jomushi
Marekani yakerwa maiti ‘kukojolewa’ na askari

WAZIRI wa Ulinzi wa Marekani, Leon Panetta amesema video inayoonesha askari wa Jeshi la Majini la Marekani wakikojolea maiti za Wafghanistan ni la “kusikitisha sana”.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari