Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 166

Category: Michezo na Burudani

Mchumiatumbo, Mwakalebela Kuzichapa Januari 30

Posted on: January 12, 2016 - Yohana Chance
Mchumiatumbo, Mwakalebela Kuzichapa Januari 30

BONDIA Alphonce Mchumiatumbo amesaini mkataba wa kuzipiga na Benki Mwakalebela january 30 katika ukumbi wa sativa Kyela Mkoani Mbeya mpambano huo wa raundi nane wa…

Continue Reading....

David Bowie Aaga Dunia Kwa Kusumbuliwa na Saratani

Posted on: January 12, 2016 - Yohana Chance
David Bowie Aaga Dunia Kwa Kusumbuliwa na Saratani

Mwimbaji maarufu David Bowie, ameaga dunia akiwa na umri miaka 69, baada ya kuugua kwa muda mrefu ugonjwa wa saratani. Mwanawe Duncan Jones amethibitisha kifo…

Continue Reading....

Simba SC Kulipwa Hela Zao Na Etoile du Sahel Ndani ya Siku Sitini

Posted on: January 12, 2016 - Yohana Chance
Simba SC Kulipwa Hela Zao Na Etoile du Sahel Ndani ya Siku Sitini

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) iliyokutana Disemba 15 mwaka jana, imeiagiza klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia kuilipa…

Continue Reading....

Kipute Ratiba Ya FA Cup Mzunguko wa Nne

Posted on: January 12, 2016 - Yohana Chance
Kipute Ratiba Ya FA Cup Mzunguko wa Nne

Droo ya raundi ya nne ya michuano ya kombe la FA imetoka huku timu za ligi kuu ya England zikipangwa na zile za daraja la…

Continue Reading....

Ronaldo, Neymer Hoi, Messi Atwaa Ballor d’Or

Posted on: January 12, 2016 - Yohana Chance
Ronaldo, Neymer Hoi, Messi Atwaa Ballor d’Or

Mshambuliaji wa klabu ya soka ya Barcelona, na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi, ametwaa tuzo ya mchezo bora wa dunia, Hii ni mara…

Continue Reading....

Kikwete Ampongeza Samatta Kutwaa Tuzo Mchezaji Bora Afrika

Posted on: January 11, 2016 - jomushi
Post Tags: Mchezaji Samatta
Kikwete Ampongeza Samatta Kutwaa Tuzo Mchezaji Bora Afrika

Na Raymond Mushumbusi MAELEZO RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amempongeza Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari