Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 396

Category: Trending

Vyama Visivyo na Ruzuku Vyavutwa na Moto wa Dk Magufuli

Posted on: December 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Siasa
Vyama Visivyo na Ruzuku Vyavutwa na Moto wa Dk Magufuli

Na Lilian Lundo MAELEZO UONGOZI unaounda mashirikiano ya umoja wa vyama visivyo na Ruzuku ya Serikali ambavyo ni ADA-TADEA, UDP, UPDP na SAU uitwao URUWA…

Continue Reading....

Wahitimu Vyuo Vikuu Watakiwa Kuungana na Rais Dk Magufuli

Posted on: December 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Vyuo Vikuu
Wahitimu Vyuo Vikuu Watakiwa Kuungana na Rais Dk Magufuli

Na Mwandishi Wetu, Pwani WAHITIMU wanaomaliza vyuo vikuu hapa nchini wametakiwa kumsaidia Rais John Magufuli kupambana na rushwa, ufisadi uliokithiri kwa kuhakikisha hawajihusishi na masuala…

Continue Reading....

Wakazi Dar Wameza Vidonge vya Minyoo, Matende na Mabusha

Posted on: December 23, 2015 - jomushi
Post Tags: afya
Wakazi Dar Wameza Vidonge vya Minyoo, Matende na Mabusha

Kampeni ya Ugawaji wa Dawa za kujikinga na magonjwa ya minyoo, matende na mabusha inaanza jijini Dar es Salaam mwezi huu na inatarajiwa kuendelea katika…

Continue Reading....

Only in Africa

Posted on: December 22, 2015December 22, 2015 - admin
Only in Africa

Continue Reading....

FIFA Bado Yanuka Rushwa, Tokyo Ahojiwa

Posted on: December 22, 2015 - Yohana Chance
FIFA Bado Yanuka Rushwa, Tokyo Ahojiwa

Mmoja wa wagombea wa kiti cha Urais wa shirikisho la soka duniani FIFA Mosima Gabriel “Tokyo” Sexwale raia wa Afrika Kusini, amehojiwa kuhusiana na madai…

Continue Reading....

Maandalizi Michuano ya CHAN Yakamilika Nchini Rwanda

Posted on: December 22, 2015 - Yohana Chance
Maandalizi Michuano ya CHAN Yakamilika Nchini Rwanda

Rais wa Shirikisho la Soka Rwanda (FERWAFA) na Mkuu wa Kamati ya Ndani ya Maandalizi (LOC) ya Michuano ya Ubingwa wa Mataifa wa Afrika (CHAN),…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari