Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 278

Category: Trending

Yanga Kuweka Historia Mpya Misri Leo?

Posted on: April 20, 2016 - Yohana Chance
Yanga Kuweka Historia Mpya Misri Leo?

Watanzania wengi leo yanaelekezwa mjini Alexandria, Misri ambako Yanga SC itakuwa ikimenyana na wapinzani wao wa kihistoria kwenye michuaano ya Afrika, Al Ahly. Mchezo huo…

Continue Reading....

Azam Yaaga Michuano Baada ya Kukubali Kichapo

Posted on: April 20, 2016 - Yohana Chance
Azam Yaaga Michuano Baada ya Kukubali Kichapo

Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika Azan FC wametupwa nje ya michuano ya hiyo baada ya kuchapwa kwa magoli 3-0…

Continue Reading....

Rais Magufuli Aliita Daraja la Kigamboni, Daraja la Nyerere

Posted on: April 19, 2016 - jomushi
Post Tags: Daraja la Nyerere
Rais Magufuli Aliita Daraja la Kigamboni, Daraja la Nyerere

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo Aprili 19, 2016 amefungua rasmi Daraja la Kigamboni linalounganisha usafiri wa barabara kati…

Continue Reading....

Rais Dk Magufuli Azinduwa Rasmi Daraja Kigamboni…!

Posted on: April 19, 2016April 19, 2016 - jomushi
Post Tags: Rais Magufuli
Rais Dk Magufuli Azinduwa Rasmi Daraja Kigamboni…!

RAIS wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo jijini Dar es Salaam amezinduwa rasmi Daraja la Nyerere (Daraja la Kigamboni) linalounganisha Jiji la Dar es…

Continue Reading....

RC Makonda Aagiza Uchunguzi Ufanywe Ujenzi wa Machinga Complex

Posted on: April 19, 2016 - jomushi
Post Tags: Machinga Complex
RC Makonda Aagiza Uchunguzi Ufanywe Ujenzi wa Machinga Complex

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda (kulia), akikagua vizimba katika Jengo la Machinga Complex Dar es Salaam jana, baada ya kufanyika kikao…

Continue Reading....

DC Arusha Ataka Walemavu Kutengea Maeneo ya Biashara

Posted on: April 19, 2016 - jomushi
Post Tags: Walemavu
DC Arusha Ataka Walemavu Kutengea Maeneo ya Biashara

MKUU wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu ameitaka Halmashauri ya Jiji hilo kutenga maeneo maulumu ya kuwawezesha wafanyabiashara wenye ulemavu kufanya shughuli za kujiingizia kipato…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari