Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 209

Category: Trending

Duu Kwa Ratiba Hii Simba na Yanga Watachomoa Kweli ?

Posted on: July 19, 2016July 19, 2016 - Yohana Chance
Duu Kwa Ratiba Hii Simba na Yanga Watachomoa Kweli ?

Ratiba ya Ligi Ligi Kuu Tanzania Bara Maalufu Vodacom imetolewa rasmi na kufanya Timu zote zinaanza maandalizi mapema kabla ya kipute hicho kuanza

Continue Reading....

Hii Vita ya Kumpata Nani Bora Huwa Haina Mwamuzi

Posted on: July 19, 2016July 19, 2016 - Yohana Chance
Hii Vita ya Kumpata Nani Bora Huwa Haina Mwamuzi

Shirikisho la soka barani Ulaya limetangaza majina ya wachezaji 10 watakaowania tuzo ya mchezaji bora Ulaya kwa msimu wa mwaka 2015/2016, majina hayo 10 yametangazwa…

Continue Reading....

Rais Dk Magufuli ‘Awatimua’ Wafanyakazi Rais Ndani ya Jeshi la Polisi

Posted on: July 18, 2016 - jomushi
Post Tags: Jeshi la Polisi
Rais Dk Magufuli ‘Awatimua’ Wafanyakazi Rais Ndani ya Jeshi la Polisi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amewaagiza viongozi wa Jeshi la Polisi Tanzania kuwaondoa watumishi wote wasiokuwa askari polisi na…

Continue Reading....

Wanawake Wafuganyuki Waokoa Hekta 7,270 za Misitu Kazimzumbwi

Posted on: July 18, 2016 - jomushi
Post Tags: wanawake
Wanawake Wafuganyuki Waokoa Hekta 7,270 za Misitu Kazimzumbwi

  Maofisa wa taasisi ya Mfuko wa Wanawake wa Afrika (WAF) Anna Salado na Alicia (kushoto) wakipata maelezo ya fugaji nyuki katika msitu wa hifadhi…

Continue Reading....

Hospitali ya Wilaya Kisarawe Yasaidiwa Shuka 375 na LAPF

Posted on: July 18, 2016 - jomushi
Post Tags: Msaada
Hospitali ya Wilaya Kisarawe Yasaidiwa Shuka 375 na LAPF

   Naibu Waziri wa Tamisemi, Suleiman Jaffo, akisisitiza jambo. Kutoka kulia ni Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Juma Kanena, aliyemwakilisha OCD katika hafla hiyo, Kaimu…

Continue Reading....

Soma Washindi wa Tuzo za Ligi Kuu Tanzania Bara

Posted on: July 18, 2016 - Yohana Chance
Soma Washindi wa Tuzo za Ligi Kuu Tanzania Bara

BEKI wa Yanga, Juma Abdul Jaffar Mnyamani ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2015/2016. Katika sherehe za…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari