Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 142

Category: Trending

Profesa Mbarawa Awabana Madereva wa Malori ya Mchanga na Kokoto

Posted on: October 12, 2016 - jomushi
Profesa Mbarawa Awabana Madereva wa Malori ya Mchanga na Kokoto

    WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ametoa agizo kwa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), kushirikiana na Jeshi la Polisi pamoja…

Continue Reading....

Ujerumani Wajenga Jumba la Mwalimu Nyerere, AU

Posted on: October 11, 2016 - jomushi
Ujerumani Wajenga Jumba la Mwalimu Nyerere, AU

  KANSELA wa Ujerumani Angela Merkel amezindua jumba jipya la Makao Makuu ya Umoja wa Afrika ambalo limepewa jina la Rais wa Kwanza wa Taifa…

Continue Reading....

Makamu wa Rais Suluhu Hassan Aweka Jiwe la Msingi Ujenzi Wodi ya Wazazi Amana

Posted on: October 11, 2016 - jomushi
Makamu wa Rais Suluhu Hassan Aweka Jiwe la Msingi Ujenzi Wodi ya Wazazi Amana

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutbia kwenye hafla fupi ya uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa wodi…

Continue Reading....

Baraza la Watoto Mkoani Mwanza Lataka Fursa Sawa kwa Watoto

Posted on: October 11, 2016 - jomushi
Baraza la Watoto Mkoani Mwanza Lataka Fursa Sawa kwa Watoto

  Mwenyekiti wa Baraza la Watoto mkoani Mwanza, Paulina Mashauri, akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani ambayo Jijini Mwanza yamefanyika…

Continue Reading....

TAMWA Yaanza Kutoa Mafunzo Uandishi Habari za Usalama Barabarani

Posted on: October 11, 2016 - jomushi
TAMWA Yaanza Kutoa Mafunzo Uandishi Habari za Usalama Barabarani

        MKURUGENZI Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Eda Sanga akizungumza kabla ya ufunguzi wa mafunzo hayo alisema TAMWA…

Continue Reading....

Mkuu wa Wilaya ya Same Achoma Shamba la Mirungi

Posted on: October 11, 2016 - jomushi
Mkuu wa Wilaya ya Same Achoma Shamba la Mirungi

 Wakazi wa Kijiji cha Kisesa Kata ya Vudee wakishuhudia zoezi la uteketezaji wa shambala Mirungi   Mkulima wa zao la Mirungi Johnson Charles Kangara akiwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari