Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.Willium Lukuvi, akizungumza na wakazi wa Kata ya Buhongwa Jijini Mwanza, alipofanya ziara Jijini Mwanza. Waziri ameziagiza…
Continue Reading....Category: Trending
Tabata Kimanga na Kero ya Takataka Barabarani
Takataka zikiwa kando ya barabara. Mwendesha bodaboda akizikwepa takataka zilizoachwa bila ya kuondolewa jirani na stendi ya daladala ya Tabataaa Kimanga mwisho jijini Dar es…
Continue Reading....Rais Magufuli Achachamaa, Awataka ‘Vigogo’ Kurejesha Posho za Mwenge
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameagiza viongozi wote wa Serikali walioalikwa kuhudhuria sherehe za Kilele cha Mbio za…
Continue Reading....Mtandao wa Wanawake, Katiba na Uongozi Wamtembelea Makamu wa Rais
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanawake, Katiba na Uongozi Profesa Ruth Meena ambaye pamoja…
Continue Reading....NEC Yawataka Wanafunzi Sekondari Kuwa Mabalozi Elimu ya Mpiga Kura
Na Aron Msigwa – NEC, Bariadi TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa wito kwa wanafunzi wa shule za Sekondari waliopatiwa elimu ya Mpiga…
Continue Reading....