Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 634

Author: jomushi

Aisha Madinda Kuzikwa Leo

Posted on: December 19, 2014 - jomushi
Post Tags: Aisha Madinda, Kuzikwa
Aisha Madinda Kuzikwa Leo

ALIYEKUWA mnenguaji nyota wa muziki wa dansi toka bendi ya Twanga pepeta, Aisha Madinda aliyefariki dunia juzi jijini Dar es Salaam. Awali mazishi ya msanii…

Continue Reading....

TTCL Yazinduwa Dili la Ukweli, Kutoa Modem Bure

Posted on: December 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Dili la Ukweli, Modem Bure, TTCL
TTCL Yazinduwa Dili la Ukweli, Kutoa Modem Bure

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imezinduwa huduma mpya kabambe ambayo inampa mteja wa kapuni hiyo fursa ya kufurahia modem ya bure na vifurushi vya intaneti…

Continue Reading....

Dk. James Mataragio Mkurugenzi Mtendaji Mpya wa TPDC, JK Ateuwa Msaidizi

Posted on: December 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Dk. James Mataragio, Mkurugenzi Mtendaji TPDC
Dk. James Mataragio Mkurugenzi Mtendaji Mpya wa TPDC, JK Ateuwa Msaidizi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dk. James P. Mataragio kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania…

Continue Reading....

Waziri wa Fedha Afunga Kongamano la Hifadhi ya Jamii

Posted on: December 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Hifadhi ya Jamii, Kongamano, Waziri wa Fedha
Waziri wa Fedha Afunga Kongamano la Hifadhi ya Jamii

Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu hifadhi ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini…

Continue Reading....

Sakata la Escrow: Prof. Tibaijuka Asema Hawezi Kujiuzulu Kwenye Mafanikio…!

Posted on: December 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Kujiuzulu, Prof. Tibaijuka, Sakata la Escrow
Sakata la Escrow: Prof. Tibaijuka Asema Hawezi Kujiuzulu Kwenye Mafanikio…!

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amesema kamwe awezi kujiuzulu wadhifa wake kwa kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow iliyomkumba…

Continue Reading....

Naibu Mkurugenzi UNESCO Awasili Dar es Salaam

Posted on: December 17, 2014 - jomushi
Post Tags: Dar es salaam, Naibu Mkurugenzi, UNESCO
Naibu Mkurugenzi UNESCO Awasili Dar es Salaam

Ofisa mwandamizi wa habari na mahusiano ya umma wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela, Bw. Karimu Meshack (kushoto) akijadiliana jambo ndani chumba…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari