Blogs Tanzania | News |  Michuzi ya Habari leo

 

Author Archive
Stories written by jomushi

Serikali Yasema Asilimia 31 ya Watanzania ni Walevi

Serikali Yasema Asilimia 31 ya Watanzania ni Walevi

ASILIMIA 26.8 hadi asilimia 31.9 ya Watanzania wanatumia pombe na asilimia 27.4 kati ya hao ambao ni wanaume na wengine asilimia 13.4 ambao ni wanawake, ni walevi wa kupindukia. Bunge lilielezwa jana. Takwimu hizo zilitolewa na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid, ambaye alisema kuwa viwango hivyo vimetokana na utafiti [...]

Hali Bado Tete Mtwara…Serikali Yawaonya Wanaochochea

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi 

WAKATI mtu mwingine akiripotiwa kufa, hali bado ni tete katika Mji wa Mtwara kutokana na mabomu ya machozi na risasi za moto kuendelea kurindima kwenye mitaa kadhaa wakati polisi wakipambana na makundi ya vijana wanaopinga mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kwenda Dar es Salaam. Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Ligula, [...]

Dar Stock Event in Triniti Bar

Dar Stock Event in Triniti bar

AfDB Approves a USD 100 Million Risk Participation Agreement With Commerzbank AG to Boost Trade Finance in Africa

AFRIKAN DEVELOPMENT BANK

  THE Board of Directors of the African Development Bank (AfDB) (http://www.afdb.org) approved on Tuesday, May 22, a USD 100 million unfunded Risk Participation Agreement (RPA) between the AfDB and Commerzbank AG under which the two banks will share the default risk on a portfolio of qualifying trade transactions originated by issuing banks in Africa [...]

The 50th Anniversary of the African Union, the Successor to the African

Africa Flag Map normal

HOW FAR IS THE UNITED STATES OF AFRICA? Dr. Motsoko Pheko The 50th anniversary of the African Union (AU), the successor to the African Organisation of African Unity (OAU) is upon the African people this 25th May 2013. Both Organisations were formed with the main objective of ultimately bringing about the United States of Africa. [...]

SBL Yamtangaza Mshindi wa Mil. 1 Winda na Ushinde

Meneja wa bia ya Serengeti Allan Chonjo, akimtangaza Honest Minja (38) mshindi wa Tsh 1,000,000 wa droo ya kwanza ya Winda na Ushinde kwa wana habari katika droo iliyochezeshwa leo katika ofisi za Kampuni ya bia ya Serengeti jijini Dar es Salaam

Nape Kuiwakilisha CCM Hafla ya Chama cha SPD Berlin, Ujerumani

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, CCM, Nape Nnauye (katikati) akikaribishwa na baadhi ya viongozi wa chama cha SPD mjini Berlin, Ujerumani alipowasili jana kuhudhuria sherehe za miaka 150 ya kuzaliwa kwa chama hicho cha SPD.

 

 

 

Log in |

 

Google+