
ASILIMIA 26.8 hadi asilimia 31.9 ya Watanzania wanatumia pombe na asilimia 27.4 kati ya hao ambao ni wanaume na wengine asilimia 13.4 ambao ni wanawake, ni walevi wa kupindukia. Bunge lilielezwa jana. Takwimu hizo zilitolewa na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid, ambaye alisema kuwa viwango hivyo vimetokana na utafiti [...]

WAKATI mtu mwingine akiripotiwa kufa, hali bado ni tete katika Mji wa Mtwara kutokana na mabomu ya machozi na risasi za moto kuendelea kurindima kwenye mitaa kadhaa wakati polisi wakipambana na makundi ya vijana wanaopinga mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kwenda Dar es Salaam. Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Ligula, [...]

THE Board of Directors of the African Development Bank (AfDB) (http://www.afdb.org) approved on Tuesday, May 22, a USD 100 million unfunded Risk Participation Agreement (RPA) between the AfDB and Commerzbank AG under which the two banks will share the default risk on a portfolio of qualifying trade transactions originated by issuing banks in Africa [...]

HOW FAR IS THE UNITED STATES OF AFRICA? Dr. Motsoko Pheko The 50th anniversary of the African Union (AU), the successor to the African Organisation of African Unity (OAU) is upon the African people this 25th May 2013. Both Organisations were formed with the main objective of ultimately bringing about the United States of Africa. [...]
May 24 2013 | Posted in
featured,
Uchambuzi |
Read More »