Blogs Tanzania | News |  Michuzi ya Habari leo

 

Author Archive
Stories written by jomushi

Wapiganaji 30 wa Boko Haram Wauwawa Nigeria

Baadhi ya wapiganaji wa kundi la Boko Haram

TAKRIBAN wapiganaji 30, wa waasi nchini Nigeria, wameuawa kwenye mashambulio ya anga yaliyofanywa na jeshi la serikali, Kaskazini Mashariki mwa nchini hiyo. Msemaji wa jeshi la Nigeria, amesema, ndege za kivita na helicopta zilitumika kushambulia kambi kadhaa wa waasi hao. Aidha ameiambia BBC kuwa ndege moja ilishambuliwa kwa kombora na waasi hao lakini ilifanikiwa kurejea [...]

Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Mifuko Hifadhi ya Jamii

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wadau na viongozi wa mifuko ya hifadhi ya jamii wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya Mifuko hifadhi ya ya jamii iliyofanyika mjini Dodoma.

Linah na Barnaba ‘Kufukuzwa’ THT…!

Msanii Linah katika pozi

Na Andrew Chale KUELEKEA shoo maalumu ya Miaka 13, ya mwanamuziki nguli wa bongo fleva nchini na kiongozi wa bendi yenye msisimko mkubwa ya ‘Machozi Band’, Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’ au Jide’  huenda kwa upande wa wasanii wa Nyumba ya Vipaji ya THT, Linah Sanga na Barnaba  mwaka huu ukawa mchungu kwao kufuatia kuwepo [...]

Rais Kikwete Atembelea Kiwanda cha East Coast Oils & Fats

Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akimimina mafuta ya virutubishi katika kinu cha kutengeneza mafuta ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Kampeni ya kuhamaisha Lishe bora kwa walaji kwa kuongezaji Virutubishi vya Vitamini A katika Vyakula vinavyozalishwa viwandani, wakati alipotembelea Kiwanda cha EAST COAST OILS & FATS ambacho ni kampuni tanzu ya MeTL kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam. Wanaoshihudia tukio hilo ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiq (kushoto), Afisa Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya East Coasts Oils and Fats Kampuni Tanzu ya MeTL Bw. Vijay Raghavan (wa pili kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya MeTL, Mohammed Dewji (Mb) (wa tatu kushoto) pamoja na wadau wengine wa masuala ya Lishe.

Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiq pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya MeTL Mh. Mohammed Dewji (Mb) wakati wakisubiri kuwasili kwa Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete alipotembelea Kampuni ya East Coasts Oils and Fats Kampuni Tanzu ya MeTL kuhamasisha Lishe [...]

Prado TX For Sale

PRADO TX IN GOOD CONDITION

    PRADO TX IN GOOD CONDITION Model: 1997 Millage: 115,000km Cc  3000 Engine 1KZ Diesel, Color: Green 2 tone Transmission:  AT 5doors, 8passengers, AC, PS, PW, AL, ABS. Price: Tsh 19m/- Negotiable TEL: 0712155221/0784587088 E-MAIL:badijohn30@yahoo.co.uk

Mama Pinda: Tuombe Yasitokee Mabomu Mengine

MAMA TUNU PINDA

MKE WA WAZIRI MKUU Mama Tunu Pinda amesema Watanzania wote kwa pamoja wana kila sababu ya kujinyenyekeza mbele za Mungu na kuendelea kuomba ili pasitokee tena ulipuaji wa mabomu kama lile la Arusha. Ametoa wito huo Alhamisi, Mei 16, 2013 alipokuwa akiongea na Katibu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, Padre Prosper Lyimo wakati [...]

Fainali Miss Utalii Mkwakwani

Luteni  Mstaafu Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mheshimiwa Chiku Galawa akiwasalimia Washiriki wa Miss Utalii 2012/13 wakati wa kuupokea Mwenge wa Uhuru Uwanja wa Mkwakwani

HATIMAYE fainali za Taifa za Miss Utalii Tanzania mwaka huu,zinafanyika mkoani Tanga siku ya Jumapili Tarehe 19-5-2013katika uwanja wa CCM Mkwakwani Tanga. Fainali hizo za tano za Taifa za mashindano ya Miss Utalii Tanzania tangu kuanzishwa kwake mwaka 2005, zitajumuisha jumla ya warembo 30 kutoka mikoa yote ya Tanzania, na vyuo vikuu watapanda jukwaani kuwania [...]

 

 

Log in |

 

Google+