Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 86

Year: 2013

Mazoezi ya Pamoja ya Kijeshi ya EAC Yaanza Burundi

Posted on: October 21, 2013 - jomushi
Mazoezi ya Pamoja ya Kijeshi ya EAC Yaanza Burundi

Na James Gashumba, EANA-Arusha MAZOEZI ya pamoja ya kijeshi kwa majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yamefunguliwa rasmi nchini Burundi mwishoni…

Continue Reading....

Makamu wa Rais Tanzania Afungua Mkutano wa Vyombo vya Habari na Utangazaji

Posted on: October 21, 2013 - jomushi
Makamu wa Rais Tanzania Afungua Mkutano wa Vyombo vya Habari na Utangazaji

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Mkurugenzi mkuu wa TCRA Profesa John Mkoma nje ya ukumbi…

Continue Reading....

Steve ‘Nyerere’ na Johari Watoa Filamu Mpya ‘Long Time’

Posted on: October 21, 2013 - jomushi
Steve ‘Nyerere’ na Johari Watoa Filamu Mpya ‘Long Time’

Msanii Nguli wa Uigizaji wa filamu Tanzania Steven Megele almaarufu Steve Nyerere akielezea ujio wa nguvu wa filamu yake mpya iitwayo Long Time ambayo imetengenezwa…

Continue Reading....

Mtangazaji Julius Nyaisanga Afariki Dunia

Posted on: October 21, 2013 - jomushi
Mtangazaji Julius Nyaisanga Afariki Dunia

MTANGAZAJI maarufu wa siku nyingi ambaye kwa sasa alikuwa Meneja wa kituo cha Aboud Media, Julius Nyaisanga aka “Uncle J”, amefariki dunia. Taarifa zinasema marehemu…

Continue Reading....

‘Wananchi Wanataka Uadilifu na Uaminifu si Majengo Mazuri’

Posted on: October 20, 2013October 20, 2013 - jomushi
‘Wananchi Wanataka Uadilifu na Uaminifu si Majengo Mazuri’

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa majengo mazuri ya ofisi za Halmashauri mbali mbali nchini ni muhimu lakini muhimu…

Continue Reading....

Dk. Gharib Bilal Afungua Mkutano wa Mabunge ya SADC Arusha

Posted on: October 20, 2013October 20, 2013 - jomushi
Dk. Gharib Bilal Afungua Mkutano wa Mabunge ya SADC Arusha

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Arusha mjini, Godbles Lema nje ya ukumbi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari