IMERIPOTIWA kuwa watu wenye silaha wamewateka nyara na kuwauwa waandishi wa habari wawili wa redio moja ya nchini Ufaransa ambao walikuwa wakielekea Kaskazini mwa Mali…
Continue Reading....Year: 2013
M23 Kusitisha Mapigano, Wachina Wakamatwa na Meno ya Tembo Tanzania
KIONGOZI wa wapiganaji wa kundi la M23 Mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo ametangaza kuwa watasitisha mapigano katika vita vyao na Jeshi la Serikali.…
Continue Reading....Tanzania Students Beach Soccer Tournament 2013
TANZANIA students Beach Soccer League ni mcheo wa mpira wa miguu ambao unachezwa kwenye fukwe za bahari ambayo itakusanya timu za vyuo vikuu zote na…
Continue Reading....Bonifasi Wambura Ateuliwa Kukaimu Nafasi Angetile Osiah TFF
Na Mwandishi Wetu KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemteua Bw. Boniface Wambura kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa TFF. Kwa…
Continue Reading....Kiongozi wa Taliban Auawa Nchini Pakistan
SHAMBULIZI la ndege ya Marekani inayoruka bila rubani limefanikiwa kumuuwa kiongozi wa Taliban, Hakimullah Mehsud nchini Pakistan. Mehsud alitwaa madaraka baada ya mtangulizi wake kuuawa…
Continue Reading....