Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 47

Year: 2013

Mapigano Mapya Yazuka Libya Watu 40 Wauawa

Posted on: November 17, 2013 - jomushi
Mapigano Mapya Yazuka Libya Watu 40 Wauawa

MAPIGANO mapya yamezuka mjini Tripoli Libya Novemba 16, 2013 wakati idadi ya watu waliouawa katika mapigano wakati wa maandamano ya kupinga wanamgambo ikipanda na kufikia…

Continue Reading....

Rais Kikwete ‘Awazungumzia’ Viongozi Wenzake Sri Lanka

Posted on: November 17, 2013 - jomushi
Rais Kikwete ‘Awazungumzia’ Viongozi Wenzake Sri Lanka

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa maoni ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola kuhusu ajenda ya maendeleo baada…

Continue Reading....

Watoto Wenye Mahitaji Maalum Wanahitaji Ulinzi na Mapenzi…!

Posted on: November 17, 2013 - jomushi
Watoto Wenye Mahitaji Maalum Wanahitaji Ulinzi na Mapenzi…!

Na Anna Nkinda – Colombo, Sri Lanka WATOTO wenye mahitaji maalum wanahitaji kupata ulinzi na mapenzi ya mara kwa mara kutoka kwa walezi na jamii…

Continue Reading....

Waziri Pinda Azitaka Halmashauri Nchini Kujenga Maktaba za Wilaya

Posted on: November 17, 2013 - jomushi
Waziri Pinda Azitaka Halmashauri Nchini Kujenga Maktaba za Wilaya

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema kila Halmashauri hapa nchini inapaswa kuweka kwenye mpango wake wa maendeleo kifungu cha ujenzi wa maktaba ya wilaya ili watu…

Continue Reading....

Mazungumzo ya Dk Shein na Uongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria

Posted on: November 17, 2013 - jomushi
Mazungumzo ya Dk Shein na Uongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria, katika utekelezaji wa…

Continue Reading....

Rais Kikwete Azungumza na Waziri wa Maendeleo ya Minazi Sri Lanka, Akabidhiwa Ripoti ya Ugonjwa wa Minanzi Tanzania

Posted on: November 17, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Azungumza na Waziri wa Maendeleo ya Minazi Sri Lanka, Akabidhiwa Ripoti ya Ugonjwa wa Minanzi Tanzania

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa Serikali imedhamiria kukabiliana na maradhi ya mazao likiwamo zao la mnazi ambalo linakabiliwa na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari