Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 302

Year: 2013

Wafanyakazi Airtel Tanzania Watunukiwa Tunzo Baada ya Kuhitimu Mafunzo ya Mauzo

Posted on: May 13, 2013 - jomushi
Wafanyakazi Airtel Tanzania Watunukiwa Tunzo Baada ya Kuhitimu Mafunzo ya Mauzo

AIRTEL Tanzania, mtandao wa mawasiliano wenye gharama nafuu nchini leo imewakabidhi shahada wafanyakazi wake 56 waliohitimu mafunzo ya mauzo ya muda wa miaka miwili yanayoendesha…

Continue Reading....

Uzinduzi Jengo la Sayansi Katika Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo

Posted on: May 13, 2013 - jomushi
Uzinduzi Jengo la Sayansi Katika Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo

Continue Reading....

Malecela: Nchi Imepasuka, Aonya Watanzania Mpasuko wa Kidini

Posted on: May 13, 2013 - jomushi
Malecela: Nchi Imepasuka, Aonya Watanzania Mpasuko wa Kidini

*Kesi ya Lwakatare Kuendelea Leo WAZIRI MKUU Mstaafu, John Malecela ameonya Watanzania kuhusu mpasuko wa kidini akibainisha kuwa utaigawa nchi vipande vipande, Rais Mstaafu, Ali…

Continue Reading....

Mapokezi ya Dk Peter Kafumu ‘Yasimamisha’ Shughuli Igunga

Posted on: May 13, 2013May 13, 2013 - jomushi
Mapokezi ya Dk Peter Kafumu ‘Yasimamisha’ Shughuli Igunga

Na Bashir Nkoromo, Igunga WAKATI mapokezi ya Mbunge wa Igunga Dk. Dalally Peter Kafumu yamesababisha baadhi ya shughuli kusimama, kwa hoi hoi, nderemo na vifijo, Chama…

Continue Reading....

Vijana Watakiwa Kufanya Kazi kwa Kutumia Fursa Zilizopo

Posted on: May 13, 2013 - jomushi
Vijana Watakiwa Kufanya Kazi kwa Kutumia Fursa Zilizopo

  WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amehimiza vijana wa Tanzania kuwa na uthubutu wa kujaribu kuzifanyia kazi fursa zilizopo katika sekta tofauti kama vile ujasiriamali, kilimo,…

Continue Reading....

Polisi Yabaini Bomu Lililorushwa Kanisani Arusha ni la Kiwandani

Posted on: May 12, 2013 - jomushi
Polisi Yabaini Bomu Lililorushwa Kanisani Arusha ni la Kiwandani

SIKU saba baada ya tukio la mlipuko wa bomu katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi,Olasiti mkoani Arusha, Jeshi la Polisi limesema kuwa mlipuko huo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari