Year: 2013
DSTV Wafungua Tawi la Huduma Kariakoo Jijini Dar es Salaam
Meneja Uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo na Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Furaha Samalu katika hatua za mwisho za maandalizi kabla ya kuwasili kwa…
Continue Reading....Mtuhumiwa Kurusha Bomu Kanisani Asomewa Mashtaka 21
MTUHUMIWA mmoja kati ya tisa waliotiwa mbaroni kuhusiana mlipuko wa bomu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasiti amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu…
Continue Reading....Ikulu Yakanusha Kauli ya Dk. Slaa
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilbroad Slaa, Jumatatu, Mei 13, 2013, alikaririwa na gazeti moja akidai kuwa Rais wa Jamhuri ya…
Continue Reading....Mizengo Pinda Azindua Mradi wa Vitabu vya Kieletroniki
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amezindua mradi maalum wa vitabu vya elektroniki vya masomo mbalimbali wenye thamani ya sh. milioni 100 ambao unalenga kupunguza tatizo la…
Continue Reading....Wagonjwa wa Akili Watoroka Hospitalini Kenya, Boko Haram wamewateka Watoto
POLISI wanawatafuta wagonjwa karibia arobaini waliotoroka kutoka hospitali ya watu wenye matatizo ya kiakili, mjini Nairobi ya Mathare. Wagonjwa hao wanasemekana waliwashinda nguvu walinzi wao…
Continue Reading....