Year: 2013
Dk Ndalichako: Siasa Zisipewe Nafasi Kwenye Mitihani Yetu
KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), Dk Joyce Ndalichako amesema siasa hazipaswi kupewa nafasi katika mchakato wa usimamizi wa mitihani na kwamba…
Continue Reading....Waziri Lukuvi Asema Wabunge Wengi Wametajwa Kuhusika na Dawa za Kulevya
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi amesema baadhi ya majina ya wabunge yametajwa miongoni mwa watu wanaoshukiwa kujihusisha…
Continue Reading....CCM Yawarejesha Madiwani Waliotimuliwa Bukoba
KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, imejadili na kutolea maamuzi pamoja na mambo mengine suala la madiwani wanane waliotangazwa kufukuzwa uanachama na Halmashauri…
Continue Reading....Watendaji Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Wapewa Mafunzo ya Bajeti Kijinsia
Na Mwandishi wa dev.kisakuzi.com VIONGOZI wakuu na watendaji wa idara mbalimbali kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto nchini leo wamepewa mafunzo ya…
Continue Reading....Vinjari yaanzisha huduma ya kulipia tiketi za ndege mtandaoni.
Pamoja na kumuwezesha mtu anayesafiri ndani ya Tanzania kulipia huduma za malazi katika hoteli 142 zilizopo katika Mikoa mbalimbali nchini Tanzania kwa njia ya mtandao,…
Continue Reading....