Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • March
  • Page 33

Month: March 2013

Yanga na Toto Kuumana Leo

Posted on: March 9, 2013 - jomushi
Yanga na Toto Kuumana Leo

MICHUANO ya Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaendelea Machi 9 mwaka huu kwa mechi mbili ambapo vinara Yanga watakuwa wenyeji wa…

Continue Reading....

Bodi ya Utalii Tanzania Yamzawadia Waziri wa Utalii na Utamaduni Zambia

Posted on: March 9, 2013March 9, 2013 - jomushi
Bodi ya Utalii Tanzania Yamzawadia Waziri wa Utalii na Utamaduni Zambia

Waziri wa Wizara ya Utalii na Utamaduni wa Zambia, Sylvia Masebo kipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Dk. Aloyce Nzuki…

Continue Reading....

Daktari Mwanza Aeleza Kinachowauwa Wajawazito Wengi

Posted on: March 9, 2013March 9, 2013 - jomushi
Daktari Mwanza Aeleza Kinachowauwa Wajawazito Wengi

Na Anna Nkinda – Maelezo, Mwanza IMEELEZWA kuwa kutokana na tatizo la baadhi ya wajawazito kuchelewa kufika Hospitali mapema kujifungua wengi wao wanakufa kutokana na…

Continue Reading....

Miss Utalii Vipaji Ndani Dar Live

Posted on: March 9, 2013 - jomushi
Miss Utalii Vipaji Ndani Dar Live

SHINDANO la Taifa la Miss Utalii Vipaji 2012/13 linafanyika kesho katika ukumbi wa Dar Live Mbagala, ambapo Warembo 40 kutoka Tanzania Bara, Zanzibar na Kanda…

Continue Reading....

Mtandao wa Jinsia Waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani

Posted on: March 9, 2013March 9, 2013 - jomushi
Mtandao wa Jinsia Waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani

MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) kwa kushirikiana na wanaharakati wa masuala ya haki na usawa wa Kijinsia, haki za Binadamu, Demokrasia, Utawala bora na Maendeleo…

Continue Reading....

Tambo Zaendelea Mpambano wa Ngumi Ubingwa wa Afrika

Posted on: March 8, 2013 - jomushi
Tambo Zaendelea Mpambano wa Ngumi Ubingwa wa Afrika

MABONDIA wawili wanaotarajia kuzipiga Machi 8, 2013 kugombea ubingwa wa Afrika katika uzito wa Lightweight, Richard Commey na Bilal Muhammed wamekutana leo katika zoezi la…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari