Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • March
  • Page 27

Month: March 2013

Mkurugenzi Mkuu WIPO Awasili Kushiriki Mkutano Kujadili Changamoto za Maendeleo Bara la Afrika

Posted on: March 12, 2013March 12, 2013 - jomushi

Mkurugenzi Mkuu wa World Interllectual Property Organization (WIPO) Francis Gurry (wa pili kulia) akipokelewa na mwenyeji wake Mkurugenzi wa Uhamasishaji Biashara na Masoko wa Wizara…

Continue Reading....

Balozi Kagasheki Awaasa Wandishi wa Kike

Posted on: March 12, 2013 - jomushi
Balozi Kagasheki Awaasa Wandishi wa Kike

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki amewataka waandishi wa Habari wa Kike kutumia kalamu zao kuandika mambo yanayohamasisha amani na…

Continue Reading....

Josephat Torner Kushiriki Katika Filamu ya Albino

Posted on: March 12, 2013 - jomushi
Josephat Torner Kushiriki Katika Filamu ya Albino

NDUGU zangu wapendwa nawasalimu katika jina la alie juu yeye atupae uzima. Naomba niwajulishe Watazania wote waishio UK kuwa ndugu yetu Josephat Torner alieshiriki katika…

Continue Reading....

Mke Amuuwa Mumewe kwa Kisu kwa Wivu wa Mapenzi

Posted on: March 11, 2013 - jomushi
Mke Amuuwa Mumewe kwa Kisu kwa Wivu wa Mapenzi

Thehabari.com, Moshi MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Happyness Mrema (28) amemchoma kisu mumewe Audiphas Mrema (30) na kumuuwa kutokana na ugomvi wa wivu wa…

Continue Reading....

Rais Kikwete Ashiriki Msiba wa Yanga

Posted on: March 11, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Ashiriki Msiba wa Yanga

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Machi 11, 2013, amejiunga na mamia ya waombolezaji kumzika aliyekuwa mchezaji hodari wa…

Continue Reading....

FIFA Yaitega Serikali Tanzania, Yatishia Kuifungia TFF

Posted on: March 11, 2013 - jomushi
FIFA Yaitega Serikali Tanzania, Yatishia Kuifungia TFF

SHIRIKISHO la Kimataifa la Vyama vya Mpira wa Miguu (FIFA) limesema litaifungia Tanzania iwapo itabainika kuwa Serikali imekuwa ikiingilia shughuli za Shirikisho la Mpira wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari