Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • January
  • Page 36

Month: January 2013

Serikali Yawaunga Mkono Waandisi Wazalendo

Posted on: January 9, 2013January 9, 2013 - jomushi
Serikali Yawaunga Mkono Waandisi Wazalendo

SERIKALI, kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, imetoa kwa makusudi, kandarasi ya mabilioni ya fedha kwa wakandarasi na wataalamu wengine wazalendo kwa nia…

Continue Reading....

Dkt Sheini Azindua barabara ya Mfenesini-Bumbwini

Posted on: January 9, 2013January 9, 2013 - jomushi
Dkt Sheini Azindua barabara ya Mfenesini-Bumbwini

Continue Reading....

Jamii Information Network Kutoa somo kwa Vijana Mkoani Mara

Posted on: January 9, 2013January 9, 2013 - jomushi
Jamii Information Network  Kutoa somo kwa Vijana  Mkoani Mara

Shomar Binda Musoma TAASISI isiyo ya Kiserikali inayojishughulisha ya utoaji elimu katka Masuala mbalimbali katika Jamii,kuibua changamoto na kusaidia Makundi yasiyojiweza ya Jamii Information Network…

Continue Reading....

Wakuu 3 wa Polisi Wasimamishwa Kazi Kenya

Posted on: January 9, 2013January 9, 2013 - jomushi
Wakuu 3 wa Polisi Wasimamishwa Kazi Kenya

MKUU wa polisi mkoani Rift Valley John M’mbijiwe anayedaiwa kuwa na uhusiano na mtu huyo mlaghai,John Waiganjo ingawa alikana kumfahamu Maafisa watatu waandamizi wa polisi…

Continue Reading....

Upinzani Ghana Wamsusia Rais Mahama

Posted on: January 9, 2013January 9, 2013 - jomushi
Upinzani Ghana Wamsusia Rais Mahama

CHAMA rasmi cha upinzani nchini Ghana, kimesusia sherehe za kuapishwa kwa rais mpya John Mahama kufuatia uchaguzi wa mwezi jana uliokumbwa na utata. Chama cha…

Continue Reading....

Dkt Shein Afungua Mitambo ya Dijitali na Jengo la Mawasiliano Unguja

Posted on: January 9, 2013January 9, 2013 - jomushi
Dkt Shein  Afungua Mitambo ya Dijitali na Jengo la Mawasiliano Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa hatokuwa tayari kuona serikali anayoiongoza iko nyuma katika tasnia ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari