WAPIGANAJI wa Taliban wameshambulia gereza Kaskazini Magharibi mwa Pakistan, na kuwaachilia huru wafungwa karibu 400. Polisi wanasema washambuliaji walitumia bunduki na maguruneti katika shambulio hilo…
Continue Reading....Year: 2012
Benki ya Dunia yakiri EAC kurahisisha biashara
Na James Gashumba, EANA-Arusha NCHI wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimeboresha mazingira ya biashara kwa wajasilia mali katika mataifa yao kwa kutekeleza mabadiliko…
Continue Reading....Rais Kikwete aelekea Brazil kikazi
Na Mwandishi Maalumu RAIS Jakaya Kikwete ameondoka jana Aprili 14, 2012, jioni kuelekea Brazil kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tano nchini humo.…
Continue Reading....Prisons, Mlale JKT zagawana pointi
Na Mwandishi Wetu, Morogoro TIMU za Tanzania Prisons ya Mbeya na Mlale JKT ya Ruvuma zimetoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa fainali za…
Continue Reading....MCT- Msanii Lulu ahukumiwa na vyombo vya habari
Kamati ya maadili ya Baraza la Habari Tanzania (MCT), imeeleza kusikitishwa kwake na ukiukwaji wa maadili uliojitokeza wakati wa kuripoti kesi ya mshtakiwa Elizabeth Michael…
Continue Reading....Kupanda kwa bei tatizo kwa Wananchi-Dk Shein
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar TATIZO kubwa linalosababisha wananchi kushindwa kupata mahitaji yao ya kila siku ni kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa mbalimbali…
Continue Reading....