Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 397

Year: 2012

JK awasili nchini Brazil kikazi

Posted on: April 16, 2012 - jomushi
JK awasili nchini Brazil kikazi

Na Mwandishi Maalumu, Brazil RAIS Jakaya Kikwete amewasili Brazil Jumapili Aprili 15, 2012 kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tano. Katika ziara hiyo…

Continue Reading....

Vodacom Tanzania yapunguza gharama za M-Pesa kwa 20%

Posted on: April 16, 2012April 16, 2012 - jomushi
Vodacom Tanzania yapunguza gharama za M-Pesa kwa 20%

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imepunguza gharama zake za kutoa fedha kwa kupitia huduma yake ya M-Pesa hadi asilimia 20 ambapo…

Continue Reading....

‘Tutaendelea kulinda uhuru wa kuabudu dini zote Zanzibar’

Posted on: April 16, 2012 - jomushi
‘Tutaendelea kulinda uhuru wa kuabudu dini zote Zanzibar’

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imesema itaendelea kulinda uhuru wa dini zote ikiwa ni pamoja na kutokubali kuvumilia vitendo vyovyote vya…

Continue Reading....

Mama yake Kanumba atoa wosia kwa SHIWATA

Posted on: April 16, 2012April 16, 2012 - jomushi
Mama yake Kanumba atoa wosia kwa SHIWATA

Na Peter Mwenda MAMA Mzazi wa aliyekuwa msanii wa filamu nchini marehemu Steven Kanumba amewataka wasanii wanachama wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) kuendeleza ushirikiano…

Continue Reading....

Msimamo wa Ligi Daraja la Kwanza hatua ya Fainali

Posted on: April 15, 2012 - jomushi
Msimamo wa Ligi Daraja la Kwanza hatua ya Fainali

Msimamo wa Ligi Daraja la Kwanza hatua ya Fainali Msimamo huo ni kabla ya matokeo ya mechi za Mgambo Shooting vs Polisi Tabora (saa 8.00…

Continue Reading....

Super ‘D’ aanzisha programu kutafuta mabondia Bora

Posted on: April 15, 2012 - jomushi
Super ‘D’ aanzisha programu kutafuta mabondia Bora

Na Mwandishi Wetu KOCHA wa Kambi ya Ngumi ya Mkoa wa Ilala Kimichezo, Rajabu Mhamila, ‘Super D’, ameanzisha programu maalumu ya kuwafanyisha mazoezi mazito mabondia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari