Year: 2012
Anna Abdallah: Ubunge rushwa tupu
Mwenyekiti wa Ulingo wa Wanawake nchini, Anna Abdallah, amesema hakuna mgombea ubunge asiyetoa rushwa katika chaguzi, hali ambayo inayosababishwa na mfumo wa uchaguzi uliopo. Akizungumza…
Continue Reading....Uchaguzi wa wabunge Afrika Mashariki hatihati
Wakati Bunge likitarajia kufanya uchaguzi wa wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki kesho, Kambi rasmi ya Upinzani bungeni, imetishia kwenda Mahakama ya Afrika Mashariki kama…
Continue Reading....Mkapa awekwa `kiti moto` UDSM
Mzimu wa ubinafsishaji uliofanywa dhidi ya yaliyokuwa mashirika ya umma, unazidi kumuandamana Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, ingawa binafsi bado hajaona athari…
Continue Reading....Makongoro Nyerere aeleza atakavyo muenzi Nyerere ubunge EAC
MTOTO wa Rais wa kwanza wa taifa la Tanzania anagombea nafasi ya ubunge katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kutimiza adhma ya Baba…
Continue Reading....Ngoma Africa Band watoka na Uhuru wa Habari
KWA kawaida wanahabari na vyombo vyao ndio wanarusha hewani habari za matukio mbalimbali pamoja wasanii na burudani zao kwa jamii, lakini bendi maarufu Ngoma Africa…
Continue Reading....