Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 266

Year: 2012

HOTUBA YA RAIS KIKWETE KWA WANANCHI JUNI 30, 2012

Posted on: July 2, 2012 - jomushi
HOTUBA YA RAIS KIKWETE KWA WANANCHI  JUNI 30, 2012

Ndugu Wananchi, Kama ilivyo ada naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehma, kwa kutujaalia uzima na kutuwezesha kumaliza nusu ya kwanza ya mwaka…

Continue Reading....

Serikali haiwezi kumlipa mil. 3.5 daktari mmoja – Rais Kikwete

Posted on: July 2, 2012 - jomushi
Serikali haiwezi kumlipa mil. 3.5 daktari mmoja – Rais Kikwete

*Asema daktari asiyetaka mshahara uliopo aache kazi kistarabu RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema Serikali hainauwezo wakuwalipa madaktari sh. milioni 3.5 kwa daktari anayeanza kazi…

Continue Reading....

UN ndani ya Maonesho ya Sabasaba Dar es Salaam

Posted on: July 2, 2012July 2, 2012 - jomushi

 Maonesho ya kimataifa ya biashara Dar es Salaam (DITF) maarufu kama Saba saba  yameanza Juni 28, 2012 katika viwanja vya Maonesho vya  JK Nyerere barabara…

Continue Reading....

Tamasha la Serengeti Fiesta Soccer Bonanza mkoani Mbeya

Posted on: July 2, 2012 - jomushi

Wachezaji wa timu ya mashabiki wa timu ya Manchester City ya Uingereza wakichuana vikali na mchezaji wa timu ya mashabiki wa timu ya Real Madrid…

Continue Reading....

Siri ya Twiga Bancorp kutuzwa Geneva yaanikwa

Posted on: July 2, 2012 - jomushi

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Twiga Bancorp Limited, Hussein Mbululo (kulia) akifafanua jambo juu ya Tuzo ya Dhahabu waliyo ipata kutoka Geneva Uswis kwa Ubora wa…

Continue Reading....

Bodi ya Wadhamini Muhimbili yatoa masharti makali kwa madaktari

Posted on: July 2, 2012 - jomushi
Bodi ya Wadhamini Muhimbili yatoa masharti makali kwa madaktari

*Yawataka madaktari warejee kazini, mwisho Julai 3 BODI ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili imekutana na kutoa maagizo makali kwa uongozi wa Hospitali ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari