Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 265

Year: 2012

Vikundi vya wajasiriamali vinavyobadilishana uzoefu Tanga

Posted on: July 3, 2012 - jomushi
Vikundi vya wajasiriamali vinavyobadilishana uzoefu Tanga

Na Ngusekela David, Tanga KUBADILISHANA uzoefu ni dhana iliyozoeleka miongoni mwetu na mara nyingi imekua ikitumika katika shule za msingi ambapo wanafunzi wamekuwa wakitembeleana aidha…

Continue Reading....

Hali ya wasiwasi yaibuka tena nchini Kenya

Posted on: July 3, 2012July 3, 2012 - jomushi
Hali ya wasiwasi yaibuka tena nchini Kenya

HALI ya wasiwasi imetanda nchini Kenya kufuatia vifo vya watu 17 na wengine 60 kujeruhiwa mashambulizi mawili ya kigaidi yaliyotekelezwa katika makanisa mawili mjini Garissa…

Continue Reading....

Makundi ya kiislamu yaliyumbisha bara la Afrika

Posted on: July 3, 2012July 3, 2012 - jomushi
Makundi ya kiislamu yaliyumbisha bara la Afrika

MATUKIO ya kusikitisha kwamba wanamgambo wa kiislamu wameyaharibu maeneo ya makumbusho ya utamaduni katika mji wa Timbuktu nchini Mali. Inatia wasiwawasi kwa kuwa hatua ya…

Continue Reading....

Mabondia Tanga wamuenzi marehemu Magoma Shabani.

Posted on: July 3, 2012July 3, 2012 - jomushi
Mabondia Tanga wamuenzi marehemu Magoma Shabani.

Continue Reading....

Ngoma Africa Band wapagawisha Afro-Ruhr Festival, Ujerumani

Posted on: July 2, 2012July 3, 2012 - jomushi
Ngoma Africa Band wapagawisha Afro-Ruhr Festival, Ujerumani

Continue Reading....

Madaktari waliogoma Hospitali ya Taifa Muhimbili warejea kazini

Posted on: July 2, 2012 - jomushi
Madaktari waliogoma Hospitali ya Taifa Muhimbili warejea kazini

TAARIFA ambazo zimetufikia kutoka katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ni kwamba madaktari ambao walikuwa wakiendesha mgomo wamerejea kazini na wagonjwa wameanza kupata huduma kama kawaida.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari