Kuibuka kwa majengo mapya huku mtindo wa kuvunja yale ya asili kunaibadilisha Dar es Salaam na kila uchao kuonekana mpya. Changamoto iliyopo ni kufikiria na…
Continue Reading....Month: April 2012
Alichosema Lema ni upuuzi-Ikulu
Na Mwandishi Wetu IKULU ya Tanzania imesema kuwa kauli aliyoitoa aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema muda mfupi baada ya Mahakama Kuu Kanda ya…
Continue Reading....Tenga alaani mauaji ya Mohamed Nur Somalia
Na Mwandishi Wetu RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga amepokea kwa masikitiko taarifa za shambulizi la kigaidi lililofanywa Aprili 4…
Continue Reading....Kamati ya Nidhamu TFF yapangua adhabu Yanga
Na Mwandishi Wetu KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imesikitishwa na vitendo vilivyofanywa na baadhi ya wachezaji wa Yanga katika…
Continue Reading....