Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • April
  • Page 23

Month: April 2012

Mama yake Kanumba atoa wosia kwa SHIWATA

Posted on: April 16, 2012April 16, 2012 - jomushi
Mama yake Kanumba atoa wosia kwa SHIWATA

Na Peter Mwenda MAMA Mzazi wa aliyekuwa msanii wa filamu nchini marehemu Steven Kanumba amewataka wasanii wanachama wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) kuendeleza ushirikiano…

Continue Reading....

Msimamo wa Ligi Daraja la Kwanza hatua ya Fainali

Posted on: April 15, 2012 - jomushi
Msimamo wa Ligi Daraja la Kwanza hatua ya Fainali

Msimamo wa Ligi Daraja la Kwanza hatua ya Fainali Msimamo huo ni kabla ya matokeo ya mechi za Mgambo Shooting vs Polisi Tabora (saa 8.00…

Continue Reading....

Super ‘D’ aanzisha programu kutafuta mabondia Bora

Posted on: April 15, 2012 - jomushi
Super ‘D’ aanzisha programu kutafuta mabondia Bora

Na Mwandishi Wetu KOCHA wa Kambi ya Ngumi ya Mkoa wa Ilala Kimichezo, Rajabu Mhamila, ‘Super D’, ameanzisha programu maalumu ya kuwafanyisha mazoezi mazito mabondia…

Continue Reading....

Taliban wavunja gereza Pakistan, wafungwa watoroka

Posted on: April 15, 2012April 15, 2012 - jomushi
Taliban wavunja gereza Pakistan, wafungwa watoroka

WAPIGANAJI wa Taliban wameshambulia gereza Kaskazini Magharibi mwa Pakistan, na kuwaachilia huru wafungwa karibu 400. Polisi wanasema washambuliaji walitumia bunduki na maguruneti katika shambulio hilo…

Continue Reading....

Benki ya Dunia yakiri EAC kurahisisha biashara

Posted on: April 15, 2012 - jomushi
Benki ya Dunia yakiri EAC kurahisisha biashara

Na James Gashumba, EANA-Arusha NCHI wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimeboresha mazingira ya biashara kwa wajasilia mali katika mataifa yao kwa kutekeleza mabadiliko…

Continue Reading....

Rais Kikwete aelekea Brazil kikazi

Posted on: April 15, 2012 - jomushi
Rais Kikwete aelekea Brazil kikazi

Na Mwandishi Maalumu RAIS Jakaya Kikwete ameondoka jana Aprili 14, 2012, jioni kuelekea Brazil kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tano nchini humo.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari