Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • September
  • Page 42

Month: September 2011

Polisi Zanzibar yawataka wauza vileo kujilinda wenyewe

Posted on: September 1, 2011 - jomushi
Polisi Zanzibar yawataka wauza vileo kujilinda wenyewe

Na Mwandishi wa Jeshi la Polisi- Zanzibar JESHI la Polisi Zanzibar limewaagiza wamiliki na wafanyabiashara wa baa visiwani humo kuchukua tahadhari kwa kuweka walinzi imara…

Continue Reading....

Maaskofu: Hotuba ya Rais Kikwete nzito

Posted on: September 1, 2011 - jomushi
Maaskofu: Hotuba ya Rais Kikwete nzito

Thursday, 01 September 2011 21:12 MAKANISA nchini yamesema hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa juzi katika Baraza la Idd ni nzito na kwamba, kama angekuwa…

Continue Reading....

Rais Kikwete awatembelea majeruhi Basi la Champion

Posted on: September 1, 2011 - jomushi
Rais Kikwete awatembelea majeruhi Basi la Champion

Rais Dk. Jakaya Kikwete akimfariji, Winston Chinduge mkazi wa Gairo, mkoani Morogoro ambaye ni mmoja wa majeruhi wa Basi la Champion lililopata ajali juzi mkoani…

Continue Reading....

Wabunge Zimbabwe wagoma kutahiriwa

Posted on: September 1, 2011 - jomushi
Wabunge Zimbabwe wagoma kutahiriwa

WABUNGE wanaume nchini Zimbabwe wameonekana kutokukubaliana na wito wa kutaka kutahiriwa ili kuonesha mfano katika kupambana dhidi ya Ukimwi, BBC imegundua. Naibu Waziri Mkuu, Thokozani…

Continue Reading....

Viongozi mataifa makubwa wakutana kuhusu hatma ya Libya

Posted on: September 1, 2011 - jomushi
Viongozi mataifa makubwa wakutana kuhusu hatma ya Libya

KIKAO maalumu kuhusu Libya, ambacho mwenyeji wake ni Rais wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy na Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron, kimefanika mjini Paris. Waziri wa…

Continue Reading....

JK: Kanisa halina mkono Mahakama ya Kadhi

Posted on: September 1, 2011September 1, 2011 - jomushi
JK: Kanisa halina mkono Mahakama ya Kadhi

Thursday, 01 September 2011 Rais Jakaya Kikwete amewatetea wakristo nchini kwamba hawahusuiki na kuchelewa kwa mchakato wa kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi, huku akionya kuwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari