Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • September
  • Page 29

Month: September 2011

Meli yazama na abiria na mizigo Pemba

Posted on: September 10, 2011September 10, 2011 - jomushi
Meli yazama na abiria na mizigo Pemba

TAARIFA ambazo mtandao huu umezipata ni kwamba, idadi kubwa ya abiria wanahisiwa kupoteza maisha baada ya Meli ya LCT Spice Islanders kuzama katika Bahari ya…

Continue Reading....

Kampeni Igunga: Rostam amtumia Mkapa

Posted on: September 10, 2011 - Rungwe Jr.
Kampeni Igunga: Rostam amtumia Mkapa

    Mwandishi wetu – Adaiwa kumwangukia ashirikishwe KAMPENI za uchaguzi mdogo Jimbo la Igunga zinazinduliwa mwishoni mwa wiki huku kukiwa na taarifa kwamba kuna…

Continue Reading....

Pingamizi kesi ya madiwani Chadema zasikilizwa

Posted on: September 10, 2011September 10, 2011 - jomushi
Pingamizi kesi ya madiwani Chadema zasikilizwa

Na Janeth Mushi, Arusha HAKIMU wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, Hawa Mguruta amekubali kusikiliza pingamizi la wadaiwa ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA,…

Continue Reading....

Kampeni za Chadema Igunga katika picha

Posted on: September 9, 2011September 9, 2011 - jomushi
Kampeni za Chadema Igunga katika picha

KAMPENI za kugombea ubunge Jimbo la Igunga zinaendelea huku vyama vyenye upinzani mkali katika jimbo hilo vya CHADEMA, CCM na CUF vikiendelea kunadi wagombea wao…

Continue Reading....

BAE yakubali kurejesha fedha za Rada Tanzania

Posted on: September 9, 2011 - jomushi
BAE yakubali kurejesha fedha za Rada Tanzania

KAMPUNI ya kutengeneza silaha za Kijeshi ya Uingereza ‘BAE Systems’, hatimaye imekubali kuilipa moja kwa moja Serikali ya Tanzania dola milioni 47. Fedha hizo ni…

Continue Reading....

Chuo Kikuu South Carolina Marekani kushirikiana na Chuo cha Taifa Zanzibar

Posted on: September 9, 2011 - jomushi
Chuo Kikuu South Carolina Marekani kushirikiana na Chuo cha Taifa Zanzibar

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar CHUO Kikuu cha Taifa cha South Carolina kiliopo Marekani, kimesema kitaendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta ya elimu ikiwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari