Waziri Mkuu Pinda Apokea Kitabu cha Muongozo Kilimo cha Embe

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda akipokea kitabu cha muongozo wa kilimo bora wazao la embe kutoka kwa wanachama wa kilimo cha Embe Tanzania (AMAGRO) kitabu hicho alikabidhiwa na Mwenyekiti wa (magro), Burton Nsape shughuli hiyo ya kukukabidhi imefanyika ofisini kwa Waziri Mkuu magogoni Dar es salaam (Picha na Chris Mfinanga)
Wanachama wa chama cha wakulima zao la Embe wakiwa ofisini kwa Waziri Mkuu kwa ajili ya kumkabidhi kitabu cha muongozo wa klimo cha Embe (Picha na Chris Mfinanga)

Related Post

2 thoughts on “Waziri Mkuu Pinda Apokea Kitabu cha Muongozo Kilimo cha Embe

  1. Naomba mnieleze wapi nitakapo kipata kitabu cha kilimo cha embe.Tel.0717 667347

Comments are closed.