
WABUNGE wanaume nchini Zimbabwe wameonekana kutokukubaliana na wito wa kutaka kutahiriwa ili kuonesha mfano katika kupambana dhidi ya Ukimwi, BBC imegundua.
Naibu Waziri Mkuu, Thokozani Khupe alitoa wito huo, kufuatia ushahidi kuwa wanaume waliotahiriwa wana uwezekano wa kuathirika na virusi vya HIV kwa chini ya asilimia 60.
Miongoni mwa wabunge wanane waliozungumza na BBC, mmoja tu alisema atatilia maanani pendekezo lake.
Mmoja aliita hatua hiyo “wazimu”, wakati mwengine alisema ataonyesha mfano mzuri kutokana na tabia yake. Zimbabwe ni moja ya nchi zilioathirika sana na ugonjwa wa ukimwi na mwaka jana serikali ilizindua kampeni ya kuwatahiri mpaka aslimia 80 ya vijana wa kiume- ambao ni takriban watu milioni tatu.
Shirika la Afya Duniani WHO linawashawishi wanaume kutahiriwa kufuatia utafiti uliofanywa katika nchi nyingine za Afrika. Hata hivyo, wataalamu wa ugonjwa huo, wanaonya kutumia kondom, kujizuia kufanya ngono au kuwa mwaminifu kwa mwenza mmoja ni miongoni mwa njia bora zaidi katika kujikinga dhidi ya virusi vya Ukimwi.
-BBC
Madam Minister tell yuor MP’S the following advantages of circumsation
It’s only a little piece of skin. The baby does not feel any pain because his nervous system is not developed yet.”
An uncircumcised penis is a real turn-off. Its disgusting. It looks like the penis of an animal.”
An uncircumcised penis causes urinary infections and penile cancer. It generates smegma and smegma stinks. A circumcised penis is more hygienic and oral sex with an uncircumcised penis is disgusting to women.”
An uncircumcised penis is dirty and only the lowest class of people with no concept of hygiene leave their boys uncircumcised.”+
Men have an obligation to their wives to give up their foreskin. An uncircumcised penis will cause cervical cancer in women. It also spreads disease.”
Circumcised men make better lovers because they have more staying power than uncircumcised men.”
Men in all of the `civilized’ world are circumcised.”
My own father, a physician, speaking of ritual circumcision inflicted upon my son: “It is a good thing that I was here to preside. He had quite a long foreskin. I made sure that we gave him a good, tight circumcision
35-years-old American male: “I have lost nearly all interest in sex. You might say that I’m becoming impotent. I don’t seem to have much sensation in my penis anymore, and it is becoming more and more difficult for me to reach orgasm. You say that this is the result of my circumcision? That doesn’t make any sense. I was circumcised 35 years ago, when I was a little baby. How can that affect me in any way now
I am looking both for blogs that give unbiased, balanced commentary on all issues or blogs that have a liberal or left-wing slant. Thank you..
I have been a yahoo user for some years now. I am only starting to make use of the tools which they provide, one of which being blog posts. I have written a blog and would like to know if my blog posts are being seen by others. If not then does anyone know how I get my blogs posts read?
How do I hide my extended network & blogs, without leaving a huge white gap down the bottom?