
BENDI maarufu ya muziki wa dansi ya Twanga Pepeta jana iliwaburudisha wapenzi na mashabiki wa bendi hiyo katika onesho lililofanyika Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Ikiongozwa na waimbaji wake nyota na maarufu kama Chaz Baba, Sarehe Kupaza, Dogo Rama, pamoja na Muumini Mwinjuma aliyejiunga na bendi hiyo hivi karibuni-walikuwa ni kivutio kikubwa katika onesho hilo la Siku Kuu ya Eid. Zifuatazo ni picha mbalimbali zikionesha matukio katika onesho hilo.

I really love approaching your blog! your interesting strategy to see things is what keeps me interested. Thanks so much!!!!
I adore coming to your web journal! your amazing system to see things is what keeps me fascinated. Thanks so much!!!!
A good job on the 70% of the story that was covered. Disappointing that the job wasnt complete.
I really enjoy approaching your blog! your unique approach to see things is what keeps me interested. Thanks so much!!!!