Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • serikali
  • Page 2

Tag: serikali

Serikali ya JK Yajivunia Umoja, Amani na Utulivu

Posted on: June 22, 2015June 22, 2015 - jomushi
Post Tags: Amani na Utulivu, serikali, Umoja
Serikali ya JK Yajivunia Umoja, Amani  na Utulivu

Na Frank Mvungi, MAELEZO SERIKALI imeendelea kuimarisha umoja, amani na utulivu miongoni mwa wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kipindi cha miaka kumi.…

Continue Reading....

Serikali Yahaidi Neema; Tuzo za Filamu 2015

Posted on: May 24, 2015May 24, 2015 - jomushi
Post Tags: serikali, Tuzo za Filamu 2015
Serikali Yahaidi Neema; Tuzo za Filamu 2015

SERIKALI imesema itaendelea kuweka mfumo mzuri na kujenga mazingira mazuri ili kuhakikisha biashara ya filamu inaimarika, ikiwa ni pamoja na kuwavutia wawekezaji binafsi waliopo tayari…

Continue Reading....

Uwazi na Uwajibikaji Unawahusu Wote si Serikali tu-JK

Posted on: May 21, 2015 - jomushi
Post Tags: serikali, Uwazi na Uwajibikaji
Uwazi na Uwajibikaji Unawahusu Wote si Serikali tu-JK

Na Joachim Mushi RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema dhana ya uwazi na uwajibikaji haipaswi kutekelezwa na Serikali pekee, bali inawahusu pia waendeshaji wa asasi…

Continue Reading....

Elimu Inayotolewa Sasa Inamuandaa Mwanafunzi Kujitegemea- Serikali

Posted on: May 15, 2015 - jomushi
Post Tags: elimu, mwanafunzi, serikali
Elimu Inayotolewa Sasa Inamuandaa Mwanafunzi Kujitegemea- Serikali

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues akisalimiana na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri…

Continue Reading....

Serikali Kubeba Gharama za Msiba wa Brigedia Hashim Mbita

Posted on: April 26, 2015April 26, 2015 - jomushi
Post Tags: Hashim Mbita, Msiba wa Brigedia, serikali
Serikali Kubeba Gharama za Msiba wa Brigedia Hashim Mbita

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha mtumishi wa miaka mingi wa Serikali, Jeshi la Wananchiwa Tanzania…

Continue Reading....

Serikali Yaandaa Sheria Kuwalinda Watoa Taarifa za Uhalifu – Mwanasheria Mkuu

Posted on: April 20, 2015 - jomushi
Post Tags: AG, serikali, Sheria Dawa za Kulevya
Serikali Yaandaa Sheria Kuwalinda Watoa Taarifa za Uhalifu  – Mwanasheria Mkuu

SERIKALI imesema inaandaa mswada wa sheria ambayo itawalinda watoaji wa taarifa za masuala ya uhalifu ikiwa ni jitihada za kuimarisha mapambano dhidi ya vitendo mbalimbali…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari