Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • kifo

Tag: kifo

Taarifa Msiba wa Beatrice Shelukindo Aliyekuwa Mbunge

Posted on: July 3, 2016 - jomushi
Post Tags: kifo
Taarifa Msiba wa Beatrice Shelukindo Aliyekuwa Mbunge

FAMILIA ya Bwana William H. Shelukindo, Inasikitika kutangaza kifo cha Bibi Beatrice Matumbo Shelukindo kilichotokea siku ya Jumamosi 2/7/2016 huko Arusha. Mipango ya mazishi inafanyika…

Continue Reading....

Padre Awataka Waumini Kujiweka Tayari kwa Kifo…!

Posted on: June 28, 2015 - jomushi
Post Tags: Edson Kamukara, kifo, mwanahabari
Padre Awataka Waumini Kujiweka Tayari kwa Kifo…!

Na Joachim Mushi, Dar es Salaam PAROKO wa Parokia ya Muhimbili ya Bikira Maria Salama ya Wagonjwa, Padre Ephraim Ogha amewataka Watanzania na hasa waumini…

Continue Reading....

Waziri Pinda Ataka Watanzania Kuandika Wosia Kabla ya Kifo

Posted on: May 30, 2015 - jomushi
Post Tags: kifo, Watanzania, Wosia
Waziri Pinda Ataka Watanzania Kuandika Wosia Kabla ya Kifo

Na Mwandishi Maalum WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amewataka Watanzania wote nchini wajenge tabia ya kuandika wosia ili kuondoa matatizo ya mirathi pindi mume…

Continue Reading....

Tanzania Yatuma Rambirambi Kifo cha Rais Zambia

Posted on: October 29, 2014 - jomushi
Post Tags: kifo, Michael Sata, Rais Zambia, tanzania
Tanzania Yatuma Rambirambi Kifo cha Rais Zambia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Michael Chilufya…

Continue Reading....

Ikulu Yatuma Rambirambi Kifo cha Dk Shija

Posted on: October 6, 2014 - jomushi
Post Tags: Dk William Shija, Ikulu, kifo
Ikulu Yatuma Rambirambi Kifo cha Dk Shija

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameelezea huzuni na masikitiko yake kuomboleza kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya…

Continue Reading....

Mwanahabari Alfred Ngotezi afariki

Posted on: December 4, 2011December 4, 2011 - admin
Post Tags: kifo, mwanahabari, ngotezi

TASNIA ya habari Tanzania imepata pigo kubwa baada ya jana kundokewa na mwandishi wa habari mkongwe, Alfred Ngotezi. Taarifa zilizopatikana jana usiku zinaeleza kuwa Ngotezi,…

Continue Reading....
thehabari