Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Kenya
  • Page 2

Tag: Kenya

Kenya Yajibu Mapigo, Yashambulia Eneo la Al-Shabaab

Posted on: April 7, 2015April 7, 2015 - jomushi
Post Tags: Al-Shabaab, Kenya, Somalia
Kenya Yajibu Mapigo, Yashambulia Eneo la Al-Shabaab

NDEGE za kivita za Jeshi la Kenya zimeshambulia maeneo ya wapiganaji wa kundi la Al-shabaab katika taifa jirani la Somalia, taarifa kutoka jeshi hilo zimesema.…

Continue Reading....

Kenya, Tanzania Wamaliza Mvutano wa Marufuku…!

Posted on: March 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Kenya, Mgogoro, tanzania
Kenya, Tanzania Wamaliza Mvutano wa Marufuku…!

HATIMAYE marais Uhuru Kenyetta wa Kenya na Jakaya Kikwete wa Tanzania wamekubaliana kufutilia mbali maagizo ya Mamlaka ya anga nchini Tanzania kupunguza idadi ya ndege…

Continue Reading....

Beach Soccer; Tanzania Kuivaa Kenya, Twiga Kutinga Kambini

Posted on: February 20, 2015 - jomushi
Post Tags: Beach Soccer, Kenya, Twiga
Beach Soccer; Tanzania Kuivaa Kenya, Twiga Kutinga Kambini

  TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Soka la Ufukweni (Beach Soccer) kesho jumamosi itacheza mchezo wa marudiano dhidi ya timu ya Taifa ya Kenya,…

Continue Reading....

Kenya Yaruhusu Magari ya Watalii Tanzania Kuingia Jomo Kenyatta

Posted on: January 19, 2015 - jomushi
Post Tags: Jomo Kenyatta, Kenya, tanzania, Watalii
Kenya Yaruhusu Magari ya Watalii Tanzania Kuingia Jomo Kenyatta

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema Serikali ya Kenya imekubali kuyaruhusu magari ya abiria na watalii kutoka Tanzania, kuingia ndani ya Uwanja…

Continue Reading....

Kenya Wavamia Kambi ya Al-Shabaab, Waua Wapiganaji 100

Posted on: November 24, 2014 - jomushi
Post Tags: Al-Shabaab, Kenya, William Ruto
Kenya Wavamia Kambi ya Al-Shabaab, Waua Wapiganaji 100

MAKAMO wa Rais wa Kenya, William Ruto, amesema kuwa askari wa usalama wa Kenya wamewaandama wapiganaji wa Al-Shabaab hadi kwenye kambi yao nchini Somalia, baada…

Continue Reading....

Sauti Sol wa Kenya Ndani ya Beauty na Music Night

Posted on: September 4, 2014 - jomushi
Post Tags: Beauty, Kenya, Music, Sauti Sol
Sauti Sol wa Kenya Ndani ya Beauty na Music Night

Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari