MMOJA wa watoto pacha waliozaliwa wakiwa wameungana na kutenganishwa kwa upasuaji nchini India, hali yake ni mbaya na utumbo wake mkubwa sasa umetoka nje. Mtoto…
Continue Reading....Tag: featured
Mama Mzazi wa Zitto Kabwe Afariki Dunia, Asafirishwa…!
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania, (CHAWATA), Shida Salum, ambaye pia ni mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na Mjumbe wa…
Continue Reading....Asilimia 25 ya Walimu Hufundisha ‘Makorokocho’
WAKATI Serikali ikiahidi kuboresha elimu nchini kwa kuhakikisha inaajiri walimu wa kutosha, imebainika kuwa asilimia 25 ya walimu huwafundisha wanafunzi mambo yasiyo ya msingi. Ripoti…
Continue Reading....Matumizi ya ARV na Pombe Hatari Hatari…!
WATU wanaokunywa dawa za kufubaza makali ya Virusi Vya Ukimwi(ARV) huku wakitumia pombe kwa wingi wametajwa kujiweka katika hatari zaidi. Wanaweza kuharibu dozi na kusababisha…
Continue Reading....Wabunge Upinzani Watoka Bungeni, Zitto Awaita Wanaroho Mbaya, Pinda Atoa Kauli ya Serikali
Na Mwandishi Wetu WABUNGE wa Kambi ya Upinzani Bungeni wametoka nje ya Bunge la Bajeti leo jioni mjini Dodoma ikiwa ni ishara ya kususia Bajeti…
Continue Reading....Tanzania Yafanikiwa Kupunguza vifo vya watoto…!
Na Premi Kibanga, Toronto-Canada TANZANIA imefanikiwa kufanikisha lengo la kupunguza vifo vya watoto kama yalivyoainishwa na Umoja wa Mataifa kwa juhudi za Serikali, familia na…
Continue Reading....