Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • daladala

Tag: daladala

Lowassa Apanda Daladala Toka Gongo la Mboto hadi Pugu

Posted on: August 24, 2015 - jomushi
Post Tags: daladala
Lowassa Apanda Daladala Toka Gongo la Mboto hadi Pugu

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa akisalimiana na Bi. Kulwa Juma ambaye ni mfanyabiashara ndogo ndogo…

Continue Reading....

Auawa Baada ya Kuwachoma Visu Abiria Kwenye Daladala

Posted on: July 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Abiria, daladala
Auawa Baada ya Kuwachoma Visu Abiria Kwenye Daladala

MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati…

Continue Reading....

Madereva Wetu Ndio Husababisha Misongamano Isiyo ya Lazima Barabarani!

Posted on: May 1, 2014May 1, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: ajali, daladala, Dar
Madereva Wetu Ndio Husababisha Misongamano Isiyo ya Lazima Barabarani!

Picha zinaonyesha magari (mara nyingi Daladala) yakiendeshwa upande wa gari zitokazo upande wa pili, maarufu kama “Kutanua”! Tabia hii imekuwa ikisababisha misongamano, isiyokuwa ya lazima…

Continue Reading....

Wito Kwa Kina Baba Kuondoa Dhana Potofu!

Posted on: April 29, 2014April 29, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: daladala, Dar, kushirikiana, manispaa, mke, mume
Wito Kwa Kina Baba Kuondoa Dhana Potofu!

Maisha ya sasa kushirikiana kama picha zinavyoonyesha hapo juu, mke na mume kwakishirikiana kuuza vitumbua. Mke akichoma na mume akiwa anatoa huduma kwa wateja, ambao…

Continue Reading....

Mwananchi- Usifikiri Dampo, ni Kituo Cha Daladala!

Posted on: April 22, 2014April 22, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: daladala, Dar, Mvua, taabu, wakazi, wananchi
Mwananchi- Usifikiri Dampo, ni Kituo Cha Daladala!

Picha ya kwanza, inaonyesha chakula (mapaja ya kuku) kikiuzwa pembezoni mwa kituo cha Mabasi, Banana, wilayani Ilala. Meza zimewekwa juu ya mifereji ya kupitisha Maji…

Continue Reading....
thehabari